Recent content by CASTRO MAO

  1. C

    Wilaya ya Itilima Simiyu yafukuza walimu wote wa Shule za Sekondari

    wilaya yaitilima –simiyu yafukuza walimu wote washule za sekondari hivi wilayaya itilima iko nchi gani? Bara gani ? Duniani ua afisa elimu wake sekondarianajua hii ni karne ya ngapi? rafiki yanguanayefundisha huko kwa takribani miaka 7 tangu wilaya hiyo haijatengwa na wilaya yabariadi...
  2. C

    Kifo cha CCM kimetimia

    Hata kwa ujanja gani Chama Cha Mapenzi (CCM) kiko mwisho, but remember CHEGUVERA'S worbs " revolution is not a ripe apple which one day falls down WE MUST FORCE IT TO FALL DOWN"
  3. C

    Siri ya Mwenge wa Uhuru

    Mwenge wa UHURU hukimbizwa kila mwaka nchi nzima ukiwa na kauli mbiu mbalimbali, katika mbio hizo mwenge huzindua majengo mbalimbali ya umma kama vile Ofisi, Zahanati na Shule ambapo zaidi ya 95% ya majengo hayo yanakuwa yamejengwa chini ya kiwango. Utasikia ndugu mgeni rasmi ofisi hii...
  4. C

    Mbunge wa Ukerewe: Asikari wa Kenya na Uganda waingia Tanzania

    Tatizo si ukerewe tu,njoo huku Kagera halafu uende kwa watani zangu Chigoma unaweza kulia, mipaka ya chi yatu iko wazi 24hrs kwa majambazi kutoka nje ya nchi, wahamiaji haramu Amiri jeshi mkuu a.k.a baba rizi pamoja na Gen.Mwamunyangi wako HONEYMOON. Mipaka ulinzi wake afadhali 100% enzi za...
  5. C

    Mwigulu Nchemba: Safari ya Zitto imefika mwisho

    CHADEMA inaaamini katika demokrasia na kuwa mtu yeyote anaweza jambo, Ndoto ya CCM ilikuwa viongozi wa CDM waendelee kuongoza tu wasiwe washauri, Zito hagombei ubunge,atakuwa mshauri wa CDM na anawaachia watu wengine waongoze tatizo liko wapi, M nchemba amezoea yale ya chama chake mbunge...
  6. C

    Mbio za mwenge wa uhuru kila mwaka nchini hazina tija zikome

    Mwenge waUHURU hukimbizwa kila mwaka nchi nzima ukiwana kauli mbiu mbalimbali, katika mbio hizo mwenge huzindua majengo mbalimbaliya umma kama vile Ofisi, Zahanati na Shule ambapo zaidi ya 95% ya majengo hayo yanakuwa yamejengwa chini ya kiwango.Utasikia ndugu mgeni rasmi ofisi hii imegharimu...
  7. C

    CCM yaichinja CHADEMA Singida

    Aibu gani CCM eti mmeazimisha miaka 36 ya kuzaliwa Chama Cha Majambazi (CCM),juzi miji yetu ya Geita.Shinyanga na Kahama maroli yalileta watu kuwatoa vijijini eti sherehe hizo zionekane kuwa na watu wengi maajabu wote walikuwa VIKONGWE TU na eti walipewa fedha na wabunge wao
  8. C

    Aibu kubwa kwa CHADEMA kushindwa kumfukuza Zitto Zuberi Kabwe

    hivi unajua ZITTO tangu SHUGHULI ianze MJENGONI YUKO WAPI? kama ujui yuko jimboni kwake kunadi sera za CDM-M4C, unataka afanye nini? halafu akifukuzwa shughuli hiyo utaifanya wewe? mtu siyo lazima siku zote afukuzwe ndio ionekane ameadhibiwa UKIMPUUZA NIADHABU TOSHA
  9. C

    Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?

    Mwenge waUHURU hukimbizwa kila mwaka nchi nzima ukiwana kauli mbiu mbalimbali, katika mbio hizo mwenge huzindua majengo mbalimbaliya umma kama vile Ofisi, Zahanati na Shule ambapo zaidi ya 95% ya majengo hayo yanakuwa yamejengwa chini ya kiwango.Utasikia ndugu mgeni rasmi ofisi hii imegharimu...
  10. C

    Rais wa Kongo (DRC) Joseph Kabila awasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi

    Ki-uhalisia hata kama ni kipofu huwezi kuwa shahidi,usuluhisho wa DRC na M23 ulifanywa na nchi 14 za SADC iweje mashahidi wawe nchi 3 tu kati ya 14? kimsingi nchi za TZ, ANGOLA NA S.AFRICA ndio zina majeshi imara KAGAME NA M7 walikuwa wamewatega,wangekubali tu vita ingaenza rasmi DRC chini ya...
  11. C

    Walimu wapya wanaosubiria ajira eti wanataka kuandamana!

    don't worry juu ya maandamano siku si nyingi mtaanza tu maandamano yenu mara tu baada ya kupangiwa vituo ili mpewe pesa za kujikimu pamoja na kucheleweshewa mishahara kwani wengine mtakaa vituoni bila mshahara miezi hadi 4
  12. C

    Jumuiya ya Afrika Mashariki kuvunjika, uroho wa madaraka wa Museveni na Kagame vyaiponza

    Ndoto ya siku nyingi ya Wanyarwanda (Watusi) ya KUTEKA na KUTAWALA eneo lote la Maziwa makuu (DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, TZ na Kenya), inaelekea kutimia. Baada ya kuzitawala Uganda (Gen.Yoweri K. Mseveni), Rwanda (Gen. Paul Kagame) na DRC (Gen. Hypolite Adrian Christophe Kanambe a.k.a...
  13. C

    CHADEMA yashindwa kutoa maamuzi magumu

    Vipi huko kwenu CCEMI ,,,,,MAGAMBA yaliishaje? mulitoa maamuzi gani MAGUMU? NA bado pale MAGOGONI maamuzi gani MAGUMU mlioyatoa kwa Mzee wa RADA na RICHIMOND? acha utani bwana CDM na M4C wewe mweyewe UNAVIGWAYA,
  14. C

    CHADEMA yashindwa kutoa maamuzi magumu

    Vipi huko kwenu CCEMI ,,,,,MAGAMBA yaliishaje? mulitoa maamuzi gani MAGUMU? NA bado pale MAGOGONI maamuzi gani MAGUMU mlioyatoa kwa Mzee wa RADA na RICHIMOND? acha utani bwana CDM na M4C wewe mweyewe UNAVIGWAYA,
Back
Top Bottom