Mzee wa kulamba ruzuku 
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
A.k.a. Babu Msela.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mzee wa kulamba ruzuku 
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Wanawaiga wenzao kushindwa kuwavua gamba, na wao gwanda limeng'ang'ania wakifikiri rahisi.Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.
Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.
vipi badala ya kulamba ruzuku unataka akulambe wewe..
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.
Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.
Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.
Kweli inasikitisha kwani wanamuogopa sana zitto na shibuda matokeo yake wanaishia kuja humu jf kuwatukana halafu wakikutana nao wawakenulia meno
Uwe mkweli chama chenu hakina uwezo wa kutoa maamuzi magumu, mwaogopa kupungua kwa ulaji wa Dr. Slaa kupitia ruzuku ya kila mwezi
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.
Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.
Si msemaji wa CHADEMA wewe?Sasa mnapobisha kuwa mmeanza kutekeleza siasa za ukameruni mnabisha nini?Shame!vipi badala ya kulamba ruzuku unataka akulambe wewe..
kamuulize kibaraka wenu Shibuda atakwambia shughuli ya chadema pumbavu zenu na huyo kibaraka..
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.
Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.
Chadema inaelekea kaburini
Hata ukitukana bado aisaidii kitu kama mna ubavu mfukuzenu Shibuda basi au Zitto.