Usiseme fuata mkumbo..kwani kitu kizuri si kinaonekana asa wewe utakalia design ya zamani kisa kuna changamoto kwenye design mpyaa..hakuna changamoto isiyotatulika kwenye ujenzi,acha uoga!
Mimi kiwango cha chini 18,000/ hii ni siku za kawaida, jamani weekend ndo balaa kuanzia ijumaa-jpili hapa huwa napasuka kati ya 50,000 - 70,000.. mwenye mbinu mbadala namna ya kuepuka hii zahma ya weekend namkaribisha kwa mawazo ya kunijenga!
Mwamba kweli we complicator..asa ama ulikuwa unajua geto huna ndomu si ungejiongeza pale 4 ways ungeenda nunua pack zako 2 uajilie mtoto huyo,nyie ndo huwa mnafanya tuonekane wanaume wote malofa!! Yaani huyo demu akufungie na milango abisa sio vioo tuu.
Sio mbaya kwa hoja yako, lakini kimsingi ilibidi uhoji kuhusu vipimo kwanza ili kufahamu je kipimo kilichotumika ni sahihi au sio sahihi..na kipimo kitakiwa kiweje kwamaana sio rahisi kujua kipimo halisi kwa kuangalia.
We nawe unaroho mbaya tu..asa mtu amekwambia muelekeze aipeleke kama kweli ulikuwa na nia nzuri kwanini usimtumie namba umwambie ofisi ipo sehemu fulani ukifika mcheki huyu mtu atakupokea alaf ukishamtumia hiyo namba unamcheki jamaa yako..simple like that!
Usikimbilie kuwa mtu kabambikiwa kesi, we ushahidi wa kusema kambakiwa kesi unao? na labda unataka zikamatiwe wapi ili ijulikane kuwa ni kosa?
kwenye haya mambo kuna looser na winner so inawezekana jamaa kawa looser kwa kukaa nazo nyumbani kwake hivyo usikimbilie kusema mtu kabambikiziwa kesi...
Hizi takwimu hazina uhalisia..iweje kaskazin pemba na kusini unguja ikose watu walioambukizwa ukimwi?wanataka wawaaminishe watu hamna ukimwi kumbe upo ili wawamalize kiurahisi..inabidi mjue na sababu za kutengenezwa kwa virusi vya ukimwi.
ova!
Mkuu embu acha masihara na daktarii tena usimfananishe na mambo ya kijinga...embu mchukue mkulima akafanye upasuaji wa moyo alafu mtu aendelee kuishi kama kawaidaa..
kulima si unatumia mijinguvu tu..we kushika jembe na kutifua ardhi nani anashindwa? sasa nenda kamfanyie upasuaji mama mjamzito...
Mkuu mbona kwa namba hiyo ya usajili S.1424 NECTA inaonesha ni usajili wa shule nyingine iliyopo simiyu imekuwaje na nyie muwe na usajili wa namba hiyo tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.