Recent content by cashbonnie

  1. cashbonnie

    Nahitaji Block mixer mashine

    Shukrani sana kaka. Ntakuja kwako nipate muongozo mzuri
  2. cashbonnie

    Nahitaji Block mixer mashine

    Niko Dodoma wazee
  3. cashbonnie

    Nahitaji Block mixer mashine

    Mambo vp wadau. Msaada wa wapi ambapo naweza kupara machine ya kuchanganyia cement na mchanga kwa ajili ya kufyatulia matofali.
  4. cashbonnie

    MAUTUNDU: Namna ya kusoma chat za mwenzako za WhatsApp bila yeye kujua

    What if the person yuko mbali lets say mkoa mwingine. How does it work!!
  5. cashbonnie

    Maangamizi kwa Magamba!

    Ifakara kulikua na vitongoji 33 chadema imeua 29 magamba wameambulia 4
  6. cashbonnie

    Kawe kimenuka: Milio ya risasi yasikika!

    Polen,i hope no body will b hurtled
  7. cashbonnie

    Je, ni sahihi Mwanajeshi na Polisi kutolipa nauli?

    Tanzania ni zaidi ya uijuavyo ndugu yangu
  8. cashbonnie

    Vyeti feki 1,035 vyakamatwa kwa waombaji wa kazi Nchini

    wengine vyeti vyetu vinepotea watoe ata list ya majina ya ivyo vyeti
  9. cashbonnie

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    HAPO HAKUNA KAZI NDUGU ZANGUNI KUWENI MAKINI SANA NA HAO WATU,HASA HUYO MR. MWESIGWA NI TAPELI TUU. NIUMEFANYA MAWASILIANO NA MWANZA COMMUNITY BANK NA WAMENITHIBITISHIA KUA WALISHASIKIA HILO TANGAZO NA WALISHAFAFAUNUA KUA HAWAJATOA NAFASI ZA KAZI KWA SASA HIVYO HUO NI UTAPELI TUU,KAMA KUNA MTU...
  10. cashbonnie

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    Huyu jamaa hata mimi kanitumia msg this morning akitaka nimtumie pesa sasa mimi nimemwambia nataka kuongea nae amedai kua atanicheki jioni ili nizungumze nae,am waitning for his col, lakini pia cha msingi ni kupata namba za mawasiliano za Company ndio tuulize hizo details kama ni za kweli kuhusu...
Back
Top Bottom