Recent content by case

  1. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni Rais wa JMT ambaye moyo na mapenzi yake yapo Zanzibar

    Chato ni Tanganyika kama ilivyokuwa Machame au Rombo,mahaba ya mtangulizi wake na Chato hayakuzidi ya Mramba, Msuya na wote wa kutoka Migombani walivyoipendelea Kilimanjaro yao na kubebana kwenye mashirika yetu ya Umma kama TRA na bandarini kama ni mali ya ukoo wao, atleast mtangulizi wa mama...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Umeshashiba machalari na mbege unasubiri kisusio bwasheee
  3. C

    JamiiForums Tanzania TANZIA Johara Mtei, Mke wa Mzee Edwin Mtei na mkwe wa Freeman Mbowe afariki dunia

    Mwendazake Mama Mtei alale mahali panapostahili.RIP mwendazake Johara.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Huenda ikachukua miaka 100 au isitokee kupata Rais kama Hayati Magufuli

    Naona umeshakula machalari yako hapo na umeshashushia na mbege yako ya moto huku ukikumbuka utamu wa shughuli ya Sabaya kukunyang’anya mke wako Bwasheee😁
  5. C

    JamiiForums Tanzania Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

    Tunawajua Bwashee ndio maana nyinyi ndio mnaongoza kwa chuki na umimi na kubebana bebana na ufisadi na ukabila,endelea kuimba mwamba wenu mzee wa konyagi aliyeshughulikiwa na Sabaya hadi akahama nchi awavushe huku nyinyi mkimpa michango tuu huku ruzuku akiitafuna yeye na ukoo wake,Magufuli yuko...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

    Yuko moyoni wa Tanzania wanaojua maana ya kuwa watanzania sio kabila letu kwanza ,sio wavivu wa kutafuta mitaji hadi muibie serikali au waajirini wenu,majigambo ya bure kumbe mnataka kubebwa tuu,mpewe furasa za wizi ,hamtamtoa Magu kamwe kwenye mioyo ya watanzania ili mumreplace na yule mzee...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Nimekwenda DAWASCO Kimara, majibu nimepewa hadi nimemkumbuka mwenda zake

    Sawa Bwashee wewe ni wa Uru Kishimundu au Machame ?manake haya maandishi tunayajua wazee wa kanda yetu ya uchoyo,wizi na ufisadi kubebana,ukabila na malalamiko na chuki kwa kiongozi yoyote atakaye wanyima fursa za kuiba na kubebana. Bwashee mnazidi kujitengezea chuki na watu wengine, Magu yuko...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Wapi hapa Dar napata Smart TV bora kabisa?

    JJ Electronics Tegeta Nyuki wako poa sana
  9. C

    JamiiForums Tanzania Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam ambao kila Rais wa Tanzania anatamani kukutana nao ni akina nani?

    Mmoja wapo wa wazee wa Daressalaam ambaye hataweza kukosa
  10. C

    JamiiForums Tanzania Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

    Yani hawa watu wanapenda kubebwa tuu.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Msaada namna ya kupata Driving Licence na gharama zake

    Fata utaratibu na sheria za nchi na uachane na propaganda za mitandaoni,hakuna shortcuts siku hizi
  12. C

    JamiiForums Tanzania Salaam maalum za kidini zinazotufungulia mikutano

    Tuache tupumue,Asalam Alykum na Tumsifu Yesu Kristo inakuuma nini wewe mpagani
  13. C

    JamiiForums Tanzania RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

    Hata msosi hakuna,hakuna Davis Mosha,Makonda wala mzee Mengi😂🤣hata baba yake amemsusa mzee punje kibamiazi pole n this case is closed😂😃😂😃
  14. C

    JamiiForums Tanzania Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

    Yani Mzee William hadi leo na akili yako yote ya kuishi marekani miaka 31 na kurudi bongo na dollars1000 bila karatasi yani a very big failure kwa jinsi how easy kupata green card US especially kwa wazee kama nyinyi mliokaaa kwa muda mrefu kule lakini kwa tatizo la akili yako ndogo umekosa green...
  15. C

    JamiiForums Tanzania Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

    We nawe acha ufala sio kila mtu ni x wa Lemutuz,huyo Le Kibamiazi anajishtikizia kila dakika na wakati maisha yake yote ya mitandaoni yani like an old public joker,Mimi ningekuwa huyo mke wake unafikiri ningemuexpose kiasi gani na siri zake zote na miaka yote walioishi?Me Kibamiazi aache...
Back
Top Bottom