Recent content by Carlo George

  1. C

    You think you know English better?

    Good Quotation
  2. C

    Someone need a friend?? Yupo hapa

    jaman wadau sioni raha kabisa kuona ukurasa wangu haua hata rafiki mmoja, nimejaribu kutuma request but hakuna jibu So jaman naomba mniunge mkono katika hili but remember to Make as many friends as you can coz ur success is not what you have but who you are. Thanks:A S kiss:
  3. C

    Matokeo ya Simba vs Yanga Kesho ya takuwa hivi.

    Then wadau ee nahtaj marafiki jamann
  4. C

    Mitihani ya form kuhahilishwa kusahihishwa upya

    Dah ee bwana wadau mim katika hii account cna rafki hata mmoja yan, nahitaj marafik kwa kweli coz kuna msemo unasema ''Make as many frieds as you can because your success is not what you have but who you are.''
  5. C

    Mitihani ya form kuhahilishwa kusahihishwa upya

    Sawa sawa nimekuelewa,nimeipenda hyo kanuni no 67 ila naomba unisaidie hyo kanuni ni kutoka wap?
  6. C

    Mitihani ya form kuhahilishwa kusahihishwa upya

    Hahaha yan wew ndo hujui kabsa, utasemaje 'mpya' wakat unamaanisha 'zaman'?Inaonekana hujapitia class wew
  7. C

    Mitihani ya form kuhahilishwa kusahihishwa upya

    Angalia na wew unatudangany, nani kasema wanatumia grade mpya??? Grade mpya ndizo zilizotumika, ok kwa kukusaidia tu Serikal wanatumia mfumo wa mwaka 2011 ambao una grade za zamani, Grade mpya watumie mara ngap??
  8. C

    nashauri CLOUDS FM wamshtaki lady JD

    Jamani eee mbona watanzania tunakuwa hatupo nyuma katika masuala ya watu binafsi??? Tuwaachie wenyewe bwana
Back
Top Bottom