Dr.Magufuri rais wetu asisaha kuisagisha TPDC kuna uozo katika mikataba ya gesi, namsubiri Waziri mkuu akija Mtwara nimuonyeshe jinsi TPDC walivyoliingiza taifa katika janga la uchumi wa gesi asilia
Kwenye tasinia ya gesi as ilia kama ilivyo kwa biashara nyingine mwenye hisa nyingi ndiye operator wa kisima, lowasa ana hisa nyingi Chadema kwa hiyo ni lazima awe operator wa UKAWA. Sawa sawa?
Critical thinking is the missing course in our college curriculum that is why most chase a followers. Your leaders might be wrong. Learn to think for yourself.
Huyu waziri ni muongo eti anasema gesi haijauzwa popote, ukweli ni kwamba gesi imeanza kuuzwa tangu mwaka 2007 tulipoanza kutumia umeme unaotokana na gesi Mtwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.