"Wakati ukuta" ni vizuri tuweke akiba ya maneno ili tuweze kuepuka aibu ndogo ndogo zinazoweza tukuta hapo baadae.
Kwa wale wanaomsifia mama sio mbaya wakafanya hivyo lakini nadhani ni mapema sana kufanya hivyo. Mimi binafsi nahisi kwa kipindi hiki ingefaa tukajikita kwenye kumuombea zaidi...
Vijana wengi siku hizi wanaoa kwasababu ya mihemko ya kimapenzi wanakuwa hawajajipanga na changamoto zilizopo ndani ya ndoa, wengi huishia kutalikiana pale mihemko inapoisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hii imenitokea jana usiku kuna mchuchu alinipiga kamba kwamba kitu bado hakijawahi kuingiliwa. Jana nilivyoingia nikakuta kulisha safishwa hamna hata alama inayoonesha kuwa hapajawahi ingiliwa, nilivyomuuliza kulikoni mbona ulivyonambia ni tofauti na nilivyoshuhudia akanambia et alishawah...
Toka mwaka 2015 sijawahi weka vocha kwenye line ya vodacom, naitumia kwa huduma za M-pesa tu. Jamaa wanyonyaji na wanatuchuna hela zetu kama vile hawana ndugu huku uraiani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.