Msanumbi
Member
- Sep 15, 2018
- 43
- 36
Hi wana JF
Naomba tuanze kulizungumzia swala hili leo ....
Wakati tathmini zinaonyesha kuanzia mika ya 80 kurudi nyuma ndoa 15% tu ndio zilionekana kuwa mmoja ya wanandoa alibaki pekeyake kwa kufiwa na mweza wake ,lkn 80-95 iliongezeka mpk kufikia 27% ambapo kuna ambao walidai talaka na wengine kufiwa na wenzi wao,
Ilipofikia mwaka 96- mambo yalizidi kubadilika na mpk kufika 31% ,
Mwaka wa 2000 mambo yamefikia 42% vijana wakiingia kwenye ndoa hawachukui round wanaachana ,hv Tatizo ni nini haswa au nani ana kua na shida? Nani anakua na shida kati ya hawa wawili ?
*Jibu*
Vijana tumekua tunaishi kwa mazoea au wazazi upande wa kikeni hawawafundishi watt wao wa kike kuishi na ndoa au mahusiano yao au kinyume chake,
a)Wasichana hawajui chakufanya na wameendekeza usasa hata wakiwa penuni (6x6)
b)Vijana wameishiwa mbinu ya matunzo na matulizo wa wenza wao wanaowapata (pumzi ndogo 6x6 ) so hatuwarudhishi ipasavyo..
c)au tukiingia kwenye mahusiano tunachukuliana kawaida na tunakua tumezoeana..
-Acha niwape siri vijana -
Kutokana na lindi na utandawazi lililopo bora ukipata msichana/mvulana na ukagundua kuna baadhi ya mambo hawezi ,bora ukamfunza km unayajua (ila tu uwe unampenda kweli)
Na wewe utakaefundishwa wala usijiskie vbaya coz hakuna aliezaliwa anajua mambo yote so vumilia tu mpk utakapojua kufanya hayo ambayo anataka mwenza wako ,hayo ndo huitwa mapenz hata babu na bibi zetu walikua wanafanya hvyo na ndo maana ndoa zao zilikua zinakaa mda mrefu pia,
Na nyie waschana punguzeni midomo na usasa mwingi mtakuja kujikuta mnafeli kwenye kila jambo...
Mfano: unakuta mchana kweli mzuri na karembeka sio haba,kafunga kucha au kabandika kucha mikono yote na ni ndefu "hebu nambie anajisafisha vip huyu sehem zake za siri?"
Kingine kujichubua -sawa hatukatai unakua mzuri kwa sura na umbo hata ukilitia mchina sawa lkn je "uliwah kujipeleka miaka 15 mbele na ukajiona utakuaje ?" Hata huyo mwanaume utakaekua nae unadhani atavutiwa na wewe baada ya kuwa nasura iliyochakaa au kuharibika ...
Ni mtazamo tu jmn -
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba tuanze kulizungumzia swala hili leo ....
Wakati tathmini zinaonyesha kuanzia mika ya 80 kurudi nyuma ndoa 15% tu ndio zilionekana kuwa mmoja ya wanandoa alibaki pekeyake kwa kufiwa na mweza wake ,lkn 80-95 iliongezeka mpk kufikia 27% ambapo kuna ambao walidai talaka na wengine kufiwa na wenzi wao,
Ilipofikia mwaka 96- mambo yalizidi kubadilika na mpk kufika 31% ,
Mwaka wa 2000 mambo yamefikia 42% vijana wakiingia kwenye ndoa hawachukui round wanaachana ,hv Tatizo ni nini haswa au nani ana kua na shida? Nani anakua na shida kati ya hawa wawili ?
*Jibu*
Vijana tumekua tunaishi kwa mazoea au wazazi upande wa kikeni hawawafundishi watt wao wa kike kuishi na ndoa au mahusiano yao au kinyume chake,
a)Wasichana hawajui chakufanya na wameendekeza usasa hata wakiwa penuni (6x6)
b)Vijana wameishiwa mbinu ya matunzo na matulizo wa wenza wao wanaowapata (pumzi ndogo 6x6 ) so hatuwarudhishi ipasavyo..
c)au tukiingia kwenye mahusiano tunachukuliana kawaida na tunakua tumezoeana..
-Acha niwape siri vijana -
Kutokana na lindi na utandawazi lililopo bora ukipata msichana/mvulana na ukagundua kuna baadhi ya mambo hawezi ,bora ukamfunza km unayajua (ila tu uwe unampenda kweli)
Na wewe utakaefundishwa wala usijiskie vbaya coz hakuna aliezaliwa anajua mambo yote so vumilia tu mpk utakapojua kufanya hayo ambayo anataka mwenza wako ,hayo ndo huitwa mapenz hata babu na bibi zetu walikua wanafanya hvyo na ndo maana ndoa zao zilikua zinakaa mda mrefu pia,
Na nyie waschana punguzeni midomo na usasa mwingi mtakuja kujikuta mnafeli kwenye kila jambo...
Mfano: unakuta mchana kweli mzuri na karembeka sio haba,kafunga kucha au kabandika kucha mikono yote na ni ndefu "hebu nambie anajisafisha vip huyu sehem zake za siri?"
Kingine kujichubua -sawa hatukatai unakua mzuri kwa sura na umbo hata ukilitia mchina sawa lkn je "uliwah kujipeleka miaka 15 mbele na ukajiona utakuaje ?" Hata huyo mwanaume utakaekua nae unadhani atavutiwa na wewe baada ya kuwa nasura iliyochakaa au kuharibika ...
Ni mtazamo tu jmn -
Sent using Jamii Forums mobile app