Siasa ni mchezo mchafu, kwenye siasa ushindi unakwenda kwa mwenye mbinu za kucheza rafu. Dr Mwakyembe hawezi kusema chochote kwa sasa, kwa maana anajua kwamba hata kama ukweli uko upande wake, bado Lowasa anaweza kushinda.
Daudi1,
You are a good story teller. Katika episode-6 wakati baba Riziki anatafakari kwanini Paulina alimpa majibu mabaya, -- yeye mwenyewe baba Riziki alikumbuka kwamba alitumia kinga wakati wa kufanya mapenzi, kwa hiyo akaondoa wasiwasi wa ukimwi!! Sasa katika episode zilizofuata, baba...
Usianzishe hiyo maabara kwa sababu ya kusaidia jamii!!! Anzisha kwa sababu ni biashara unataka kufanya, na unalenga kutengeneza pesa. Ukifanikiwa kuiendesha na ukatengeza pesa basi na jamii itasaidika.
Nilishasema tena hapa kwamba Tanzania kama taifa tumeshakuwa na utamaduni wa kifisadi, wizi wa mali za umma. Kila mtanzania kwa nafasi yake ni mwizi wa mali za umma. Wale wanaolalamika na kupiga makelele ni wale ambao hawajapata nafasi. Naomba tuwe wakweli. Utamaduni wa kifisadi...
TEAM Lowassa kweli mna nguvu kubwa kisiasa nchini, na mna wafuasi wengi. LAKINI msije mkajiachia hiyo nguvu yenu ikawalewesha mkafikiria mmeiweka CCM mfukoni. Pamoja na nguvu yake na marafiki zake na wafuasi wake mkumbuke LOWASSA sio CCM. Kwa sasa Team Lowassa bado mmelewa mnafikiri Lowassa...
Mleta uzi una point. CCM wameshaona Lowassa atafaranisha chama. Ni kweli Lowassa ana uwezo wa uongozi lakini pia ana tatizo la ubabe wa kimorani. Kama haupo upande wa Lowassa basi ujue wewe umekwisha. Sasa hapo ndio wale walio nje ya Team Lowassa matumbo ni moto. Lakini Team Lowassa pamoja...
Hapa Tanzazia ilipofika, ni matokeo ya misingi aliyoiweka Nyerere. Ndiyo, Nyerere alikuwa ni kiongozi imara aliyekuwa hana uroho wala ubinafsi, LAKINI siasa zake na ile misingi yote aliyoiweka ndiyo imezalisha haya majanga tunayoyaona sasa. Na itachukua muda mrefu kwa Tanzania kujifukua pale...
Muhongo anajua mengi, na Kikwete anajua kwamba Muhongo anajua mengi. Wewe unafikiri ni kwanini Muhongo anajiamini kiasi hicho. Muhongo ameshamwambia raisi kwamba hatajiuzulu. Sijui boss ni nani hapa, Kikwete ama Muhongo? Yaani inaonyesha wazi kwamba kwa Muhongo Kikwete amenywea. Ni aibu.
Kama Panya Road wangejiita Escrow road, na kama badala ya kushambulia raia wa kawaida wangekwenda kushambulia ofisi ya serikali kwenye wizi wa mabilioni, basi wananchi wangewaunga mkono. Hata polisi wangewashughulikia kwa heshima.
Dawa iliyopo sasa hivi ni kwa CCM kuvunjika na kila kundi kuanzisha chama kipya. Kundi la Lowassa waanzishe chama chao na kundi la Mwakyembe waanzishe chama chao. Tukifika hapo basi demokrasia na ushindani wa kweli wa kisiasa utakuwepo nchini. Vinginevyo kama CCM wataendelea kujirundika tu...
Ni nani huyo ambaye Msuya anamsema?? Na ni kwanini asitamke jina waziwazi? Ina maana hata mzee msuya anamuogopa huyo mtu?? Hii tabia ya kuongea kwa mizunguko bila kutamka wazi inonyesha kuna matatizo makubwa kayika uongozi wa juu wa CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.