Toba!!
NEC - National Electorate Commission bado haijapuliza kipenga, hawahusiki.
NEC - National Executive Committee ya CCM, pia ni kikao cha kupiga kura tu, ila CC - Central Committee ya CCM nina imani itachukua hatua, hasa kwa fedha zinazo mwagwa na muhusika kupiti marafiki
Mbona swali rahisi kaka? anza kwao, lini wakenya wao kwa wao wakapendana? why mnaumiza vichwa wakati mjaluo na kikuyu hawapendani,? hawajaliani? mkisiii na mluya tofauti, mmeru na mkamba kila mtu lwake? tuwashauri kwa upendo tu waanze nyumbani - charity begins at home bwana!!
habari zako ni za uhakika kwa kiasi gani kaka? mbona hata figure za waliopewa uraia umekosea? serikali inasema 162,156 kuana mkuu wa makazi kaongelea makazi yote (sijui yeye ni nani wizarani -anasema wapo 152,572) na wew unakuja na 180,000, huoni unatuchanganya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.