Yaan ww unachekesha cc wenzio wanawake wetu wametolewa bikra darasa la tano mpka sasa ameshakutana zaid ya hamsin anaowakumbuka na bado Niko nae kikubwa ujue kwa sasa yuko na ww tu? Hilo ndo jambo muhimu
Acha kutuabisha wanaume wenzio hyo ishu ni ndogo sana unatakiwa utumie uanaume wako kuimaliza wasap status kitu gan kama hakuelewi chuku cm biga ukutani mtafutie kidgo dgo atakachoweza kupiga na kutuma sms tu kesi imeisha!
Mm nakulaumu ww mtoa mada kwenye hyo Chanel ya propaganda za Lumumba umefuata nn mm najianda kwenda kwa wamilik wa kigamuz changu kuomba kama inawezekana wanifutie hyo Chanel asije mwanangu akachezea remot akajikuta anaweka tbc
Mkuu nilikutaka na ishu kama yako bahat nzur ya kwang hakukuwa na mimba ilikuwa rahis tu kumuacha japo nilikuwa nampenda bola akusalit na mtu mwingne ukiona anakusalit na x wake ujue hauwez kuacha!
Umri wake tafafhal cc wazoefu wa mambo umri utatusaidia jinsi ya kutongoza kuna aina ya utongozaji kutokana na umri sehemu mnayokutana usije ukajikuta unatumia mbinu za under 20 kutongoza above 40
Mkuu mwaka mzima hata kugonga haujagonga demu co bikra ulitegemea mwaka wote huo yeye anatumia maji ya moto au kama umekosa ubunifu wa kumtafuna napata mashaka sana na ww cku hz ukikamata tafuna kwanza ukiona anakuzingua achana nae ukienda sawa ndo unatangaza ndoa
Habari za usiku wakuu,
Nimeona nilete story hii kwenu ili wazoefu wa mambo wanisaidie kunishauri miezi kadhaa iliyopita nilifahamiana na wadada wawili mapacha ambao wanafanya kazi kwenye taasisi moja ya fedha hapa mjini ambayo ipo karibu na ofisini kwetu, mara nyingi nilikuwa nikikutana nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.