Wanaume tuweni makini!

Wanaume tuweni makini!

Mapenzi si pesa ulidhani labda atakuelewa kirahisi kisa unampa pesa za matumizi? Hao masharobaro unaosema hawana mbele wala nyma ndo wanao mpa raha ya mapnzi. Jifunze kusoma alama za nyakati
Nimemshangaa aliposema anamegwa na vijana ambao hawana mbele wala nyuma. Yaani unamdharau mtu anayekutombea dem wako?
 
SAMAHANI MKUU, UMEANZA MAPENZI UKUBWANI, KWA SABABU HAINGII AKILINI KIJANA MIMI NILIYEFUNDWA JANDON NIKACHEZA NA MABINTI KIBABA BABA, SHULENI TUKAFANYA MICHEZO YA PORINI.. NIKATEMBEA MIKOA MBALIMBALI NKAKUTANA NA WANAWAKE WA AINA MBALIMBALI HALAFU LEO NIMHUDUMIE MWANAMKE AMBAYE KWA JICHO LA HARAKA UNAONA KABISA HAKUJALI, HAIWEZEKANI MKUU, UMEANZA MAPENZ UKUBWANI MPAKA UNAAMIN KARNE HII SEX NI MPK MARIAHE? IMPOSIBLE.

HIYO 20M WAPELEKEE WAZAZ WAKO.
 
Mkuu mwaka mzima hata kugonga haujagonga demu co bikra ulitegemea mwaka wote huo yeye anatumia maji ya moto au kama umekosa ubunifu wa kumtafuna napata mashaka sana na ww cku hz ukikamata tafuna kwanza ukiona anakuzingua achana nae ukienda sawa ndo unatangaza ndoa
 
Mwanamke kwa kawaida huwa ana aina tatu za wanaume maishani mwake.
1. Buzi. Huyu huwa ni mtoaji yaani anachunwa ila papuchi huwa halambi labda kwa kulazimisha sana tena kwa machozi. Hii type ya kwanza huwa inadharauliwa sana na kuzodolewa sana na mwanamke husika. Huwa haipewi nafasi ya kuridhisha mwanamke kwani huwa ina force kupata kitu hivyo huwa na fasta akitupa kimoja anavaa pichu fasta anasepa na mwanaume huwa anaridhika kabisa kumbe kaliwa.
2. Shalo au muuzia sura. Huyu ni yule ambaye akitaka kutoka hata kwenda sokoni huambatana wote. Huwa anapenda kuuzia sura sana hawa wengi ni wale wavulana wenye sura za mama zao. Kundi hili pia huwa hawalambi kitu ama wakilamba ni mara moja moja sana.
3. Jembe. Huyu yeye aweza kuwa hata anauza mkaa mchafu mchafu hivi ila kazi anapiga ile mbaya. Huyu huwa hadi anaongwa pesa. Huwezi kuta anaambatana naye sehemu yoyote lakini akitaka.wakati wowote anapata kitu. Hata akishaolewa huwa anamtafuta tu amkune. Jitathimini wewe mwanaume uko nafasi ipi.

Asheee Kumbe mimi ni namba moja so sad.
 
pole sana mkuu

mimi ni moja kati ya wale vijana wanaotoka na mademu wanaohudumiwa na mabosi na ni mlaghai pia


mwanamke anaekupenda utamjua na asiekupenda utamjua tu kwa matendo yake

siku hizi wanawake ni wengi hadi malimbwata yana-expire kwasababu kila tuendako wamejaa kwahyo akionyesha hata kua busy na sisi tunakua busy na watu wengine

me naamini wewe hujawahi kua bad boy na wala sio mtundu wa kuushinda moyo wa mwanamke


pole sana lkn fanya utafute mwanamke mwingine na uoe fasta ili huyo bint aje ajute baadae
 
kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Masomo yake mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu nina mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu 2017 amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha Jinsi gani nampenda mpaka nikaamua kumvalisha Pete ya Uchumba Lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu unavyoendelea kuisha Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ili tujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya! (y)
The world is not fair, tukiwa wastaarabu tunafanyiwa kila aina ya vituko .
 
kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Masomo yake mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu nina mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu 2017 amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha Jinsi gani nampenda mpaka nikaamua kumvalisha Pete ya Uchumba Lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu unavyoendelea kuisha Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ili tujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya! (y)
We ulitaka akupende wewe kwa kumlaghai na hela zako? Kashapenda kule we muache tafuta mwingine atakae'kupenda
 
Tatizo mnapenda sana kutumia pesa kulazimisha mapenzi. Haya ndiyo madhara yake sasa.
 
Back
Top Bottom