Recent content by canon2525

  1. canon2525

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka unahitajika

    Huyo ni kaka yako umezaliwa naye tumbo moja au ni ndugu tu au amekuajiri badala ya kumwita boss unamwita kaka?
  2. canon2525

    JamiiForums Tanzania Picha: Moto walipuka katika Hospital ya Rufaa Mount Meru

    Ashukuriwe Mungu hakuna majeruhi wala vifo.vitu vitapatikana vingine.
  3. canon2525

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, nimegundua jirani yangu sio mtu mzuri

    Si ajabu jirani ana deni linalompasua kichwa akaamua kutumia njia hiyo ili ajipatie fedha.anajua akikopa atatakiwa kurejesha so akatumia njia hiyo.Na uwezekano wa kutengeneza kesi za hivyo upo haswa uswazi.Nliwahi kusikia et hata mwanaume anaweza mshawishi mkewe awakubalie wanaume wanaomtongoza...
  4. canon2525

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

    Ni kweli wanawake wengi kwenye ndoa wanavumilia sana.Mtu akiwa anakuonyesha upendo na kukujali hata kama angekuwa inasimama dk moja ungeridhika.Ila mtu hakuonyeshi upendo wala kukujali unaona bora uishi maisha mengjne.mimi binafsi siwalaumu wanawake wanaochepuka maana na wao wanafuata...
  5. canon2525

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Kimara: Mstari katikati ya upendo, hisia na kujali

    Ukatili dhidi ya wanawake unaongezeka kwa kasi.Wanawake wanauawa wengine wanabakwa ila naona kama asasi za kiraia zimekaa kimya.wiki kama mbili zilizopita kuna mama mmoja alibakwa hadi kufa huku akiacha watoto wake wadogo. Mwanamke anajitahidi kujing'amua kwenye mambo mengi likiwemo la...
  6. canon2525

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

    Nkisoma comments za watu nacheka sana.jaman kuchepuka ni tabia ya mtu.Ila kuna wanaochepuka kutafuta faraja baada ya kuikosa ndani ya ndoa.
  7. canon2525

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

    Unaoa kabila au mtu?kila mtu ana tabia yake na mtazamo wake kuhusu maisha bila kujali kabila.Kuna wanawake wa makabila mengine ni wapambanaji pia na kuna wachaga wavivu pia so usi-generalize!
  8. canon2525

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume anachofanya huyu mwenzenu ni sawa?

    Sijui wanaume wengine mnakwama wapi.Kumpa mtu kitu huwa hakulazimishwi ila kumpa mtu kitu kunaonyesha appreciation. Mf.amekuja geto kwako kwa mara ya kwanza.unatakiwa ujiongeze hata kwa kununua zawadi.na zawadi huwa ni kitu chochote ila kama hujafanya hivyo anapokuaga mpe hata nauli ya kurudia...
  9. canon2525

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume anachofanya huyu mwenzenu ni sawa?

    Hayo mazingira huwa mnayatengeza wenyewe.Mara unamwita geto.Akija ndo hivyo akikuta geto halieleweki anaanza kufanya usafi na mengine kama kupika na kufua.Kama hutaki hayo kutaneni sehemu nyingine na sio kwako.Na nyie muache mara moja
  10. canon2525

    JamiiForums Tanzania Huu wizi kupitia Tigopesa, naomba Tigopesa mnisaidie majibu hapa

    Hawa watu wanaotapeli hivi wameongezeka sana siku hizi.Wengine ni hawa wa naosema wanaunganisha vifurushi vya chuo kwa bei nafuu
  11. canon2525

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakutana na vituko kazini ila kwa hiki cha jana ngoja niseme tu

    Dunia inaenda kwa kasi sana
Back
Top Bottom