Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Moto Mkubwa umezuka katika hospital ya Mkoa Mount Meru na kutekezeza jengo la hospital hiyo linalotumiwa kama makazi ya wanafunzi wanaosomea udaktari
Tukio hilo la moto limezuka leo majira ya SAA 9.30 alasiri na kusababisha taharuki kubwa kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali hiyo huku baadhi ya nguo ,magodoro na vitanda vikiteketea na vingine kuokolewa.
Akizungumzia tukio hilo Mkuu wa wilaya ya Arusha Kenan Kihongozi .ambaye alikuwepo eneo la tukio amesema kuwa jengo hilo lilikuwa likitumiwa na wanafunzi wa udaktari wapatao 14 na tiyari serikali imechukua hatua za kufanikisha makazi mbadala
Baadhi ya waathiriwa wa tukio hilo,dkt Musa hausen ambaye ni mmoja ya wanafunzi wa udaktari aliyekuwa akiishi katika jengo hilo amesema kuwa moto umeunguza vifaa mbalimbali vya udaktari ,nguo,vitanda na magodoro .
Tukio hilo la moto limezuka leo majira ya SAA 9.30 alasiri na kusababisha taharuki kubwa kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali hiyo huku baadhi ya nguo ,magodoro na vitanda vikiteketea na vingine kuokolewa.
Akizungumzia tukio hilo Mkuu wa wilaya ya Arusha Kenan Kihongozi .ambaye alikuwepo eneo la tukio amesema kuwa jengo hilo lilikuwa likitumiwa na wanafunzi wa udaktari wapatao 14 na tiyari serikali imechukua hatua za kufanikisha makazi mbadala
Baadhi ya waathiriwa wa tukio hilo,dkt Musa hausen ambaye ni mmoja ya wanafunzi wa udaktari aliyekuwa akiishi katika jengo hilo amesema kuwa moto umeunguza vifaa mbalimbali vya udaktari ,nguo,vitanda na magodoro .