Recent content by cano mzinga

  1. cano mzinga

    Wananchi wenye hasira wachoma pikipiki mbele ya askari

    hao askari walienda kuokoa mtu inasemekana mwizi wa pikipiki alizingirwa na bodaboda alitaka kuuawa sasa wananchi kwa hasira wakachoma pikipiki ya huyo mtu
  2. cano mzinga

    Maswali kumi kwa Edward Lowassa na Wafuasi wake

    acha majungu wewe nenda kahesabiwe inchi inakombolewa na ENL
  3. cano mzinga

    Mtoto wa Waziri David Mathayo, arekodi Video chafu

    ninayo hiyo video ila sina hakika kama mtoto wa David Mathayo
  4. cano mzinga

    Kambi ya Lowassa yachanganyikiwa

    Kelele za chura hizo lowasa ndie rais wetu tz
  5. cano mzinga

    Amboni Tanga: Askari Polisi, JWTZ wapambana na majambazi wenye silaha nzito za moto

    Wengine vichwa maji tu huleta upinzani hadi kwenye issue serious
  6. cano mzinga

    Kama Mungu yupo, je wanyama wakifa huenda mbingu gani?

    Mtujuze kulingana na andiko sie wengine hatukusoma maswala ya dini
  7. cano mzinga

    Voda mnatuua kwa wizi

    Mm kw sasa siweki kabisa pesa wanaboa sana
  8. cano mzinga

    Hatimaye mchepuko sasa kuwa njia yangu kuu

    Huyu dada n mzinzi hâta huyo hutodumu nae
  9. cano mzinga

    Team Lowasa na Android App

    Namkubali sana ENL
  10. cano mzinga

    Idara ya kupambana na ugaidi Tanzania kusaidia Kenya kupambana dhidi ya Al-shabab

    mimi simo naishi zangu shambani mie sina mchecheto ni nyie nq magaidi wenu
  11. cano mzinga

    Serikali ipige marufuku matumizi ya jina hili haraka

    Jamani mimi naitwa MPUYA mbona sawa tu
  12. cano mzinga

    Nyumba za wasanii wetu

    Weka na yako
  13. cano mzinga

    Wananchi wamwomba Kikwete amtimue DC Biharamulo

    Mkuu huyu kama ni kweli hafai
Back
Top Bottom