Wanaume wanajali kwan hata ukiwa na mimba unatongozwa bado ndo maan wanabaka hadi wanyama wengine ndo hao wanawapumulia wanaume wenzao wenyewe shida yao ni tundu tu ilimrad lnajoto .. baba yao shetani
Read hii quotation..if u really want peace of mind make decisions..hata ukiachana nae utajifungua tu salama na maisha mapya utaanza wew na mwanao..usitazame watu watakusema vipi kwamba umeachika bali ishi maisha yako upendavyo wewe bila kujali society itaongea nini angali wao hawajui maumiv...
Hata mkioana mtaachana mshaonjana sana hata huko honeymoon hamna kipya mshapeana style zote hadi za popo kanyea mbingu, hamza kafia ubalozin mshachambuana vuz moja moja hata hamnogi ...
Zinaa imekuw bei rahis kuliko ndoa ..na kwa style hyo wanaume hawataoa ,shetan amekamilisha kazi yake na bado miaka inasonga vizaz vipya vinazaliwa itakuwa kufuru
Hamna uzi siupend kuuona kama huu..yaan wanaume wanajisifia humu kutembea na wanawake tuuu zinaa imepewa kipaumbele..Akil zao zpo chini tuu .. crazy men
I'm just there because i need his money to Achieve my goals bcoz i don't get support from any relatives of mine ..its not good doing this but better to sacrifice ...but soon enough i will left him to find his better half.... (ain't perfect)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.