Wamekodi chumba wanakitumia kama ofisi ya chama ,mpaka sasa wanadaiwa kodi ya pango ya mda mrefu tangu Mwaka Jana ..na imekuwa tabia endelevu kwa kukodi vyumba na kutolipa kodi ya pango
Ofisi ya Chadema iliyoko Salasala katika jimbo la kawe wakwepa kulipa kodi ,hii imekuwa ni tabia ya viongozi wa Salasala kutafuna pesa zilizochangwa na wanajimbo kwa ajili ya kulipa kodi..nawashauri viongozi wa juu wa chama chetu kufuatilia jambo hill kwan linatia aibu kwa chama.
Naziona dalili mapeema za Lema kuukosa ubunge, dalili hizo ni
1. Upepo wa mabadiliko ambao unaanza kuchipukia CCM
2. Wananchi kutokujitokeza kwa wingi ktk upigaji kura na hli limeonekana ktk chaguzi za lushoto lulindi na sehemu zinginezo ktk level ya kata
3. Nguvu ya lowasa ss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.