sometymz inategemea na branch unayooenda kwa huduma kuna kipindi nilipata tatizo la atm card yangu nilizungushwa hko akizikiwe na mikocheni mpk kuna siku nilikua na mtu naenda kuonana nae pale mtaa ya nyarugombe nikaona tawi la crdb nikapna nijaribu hpa yani witin seconds atm card yangu inafanya...
na vpy mshahara wa bank officer crdb nimepewa barua nimekua succesful so soon ntaenda ku sign mkataba vpy mishahara yao, cz nafanya biashara zangu i want to knw ig its worth it....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.