Mbona mifumo kama hii saivi serikalini watu wanafanya Tena sema tu hapa Kuna interest za watu. Na hata kama serikalini wakishindwa Kuna kampuni kibao tu za humu humu ndani pia zinafanya
Shida kubwa yetu sisi watanzania ni mindset za kufanikiwa kupitia wizi. Kuanzia juu mpaka chini kila mtu akilala akiamka anawaza jinsi ya kupiga awe tajiri faster atambe mjini. Mimi nahisi mamlaka zipo nyingi ila akishajulikana tu nae anapozwa kidizaini ndio maana kila siku eti system...
Hapa tulipigwa watu wa bara 21% ni nyingi sana. Bara tupo takribani 60mil. Population ya zanzibar inazidiwa na mkoa wa mwanza. So maximum hawa wazanzibari ni kama 5mil tu tena napo ni kubwa sana.so kwa hesabu ya haraka haraka ilibidi wapate maximum ya 8%. Pekee ya ajira.so hii ina maana kwenye...
Issue ya bagamoyo project hakuna alieikataa ila tuliambiwa na mkuu wa nchi awamu ya tano kwamba una mashart magumu mno ambayo hayana tija kwa nchi yetu. So la msingi ni kwamba upelekwe bungeni watu wausome na waujadili kwa kina then wananchi nasi tuwe kwenye tv tufanye analysis zetu pia.
Wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.