Bandari zetu nazo ziwe chini ya Ofisi ya Rais kwa Usalama wa Taifa

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
4,654
4,157
Naona sasa ni muda muafaka bandari zetu zikawa 'monitored directly' kutoka ikulu na special branch of IT graduate and highly motivated TISS operatives. ... hii itasaidia kupunguza safari za kushtukiza ambazo, naanza kuona, hazileti tija yeyote katika kudhibiti upigaji na kuongeza ufanisi!

Picha za video za kila kinachoendelea sehemu zote nyeti ziwe streamed muda wote zikiambatana na DATA za mapato na ufanisi wa ku'clear' mizigo ya wadau mbalimbali!

Hebu tazameni hii ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu na usome body language ya wahusika wakuu wanaohojiwa hapo. Hivi PM hadanganywi kweli hapo?

 
BANDARI ZETU NAZO ZIWE CHINI YA OFISI YA RAIS KWA USALAMA WATAIFA!

... ili kupunguza safari za kushtukiza ambazo, naanza kuona, hazileti tija yeyote katika kudhibiti upigaji na kuongeza ufanisi naona sasa ni muda muafaka bandari zetu zikawa 'monitored directly' kutoka ikulu na special branch of IT graduate and highly motivated TISS operatives! ... picha za video za kila kinachoendelea sehemu zote nyeti ziwe streamed muda wote zikiambatana na DATA za mapato na ufanisi wa ku'clear' mizigo ya wadau mbalimbali!

Hebu tazameni hii ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu na usome body language ya wahusika wakuu wanaohojiwa hapo ... hivi PM hadanganywi kweli hapo?



BANDARI ZETU NI MUHIMU MNO KWA UCHUMI NA USALAMA WA TAIFA LETU!
POINT
 
Utopolo mtupu. Badala utake uwajibikaji wa imara wa bunge kusimamia nchi na serikali unataka mambo yachimbiwe mafichoni kwenye dola.
Wazo lako zuri pia, lakini rais pia akiwajibika directly inakuwa kurushiana mpira kidogo kunapungua!
 
Naona sasa ni muda muafaka bandari zetu zikawa 'monitored directly' kutoka ikulu na special branch of IT graduate and highly motivated TISS operatives. ... hii itasaidia kupunguza safari za kushtukiza ambazo, naanza kuona, hazileti tija yeyote katika kudhibiti upigaji na kuongeza ufanisi!

Picha za video za kila kinachoendelea sehemu zote nyeti ziwe streamed muda wote zikiambatana na DATA za mapato na ufanisi wa ku'clear' mizigo ya wadau mbalimbali!

Hebu tazameni hii ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu na usome body language ya wahusika wakuu wanaohojiwa hapo. Hivi PM hadanganywi kweli hapo?


Aliyekwambia Usalama wa Taifa hawapo bandarini nani?

Kukuelimisha kidogo: Kuna sehemu muhimu kwa taifa zinaitwa "Vituo muhimu" kwa kimombo "Vital installations." Bandari, viwanja vya ndege, BOT, Tazara, nk zote zina maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa, wa wazi kwa maana ya waliopo kwenye ofisi zilizopo kwenye taasisi hizo, na maafisa vipenyo (penetrated officers).
 
Aliyekwambia Usalama wa Taifa hawapo bandarini nani?

Kukuelimisha kidogo: Kuna sehemu muhimu kwa taifa zinaitwa "Vituo muhimu" kwa kimombo "Vital installations." Bandari, viwanja vya ndege, BOT, Tazara, nk zote zina maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa, wa wazi kwa maana ya waliopo kwenye ofisi zilizopo kwenye taasisi hizo, na maafisa vipenyo (penetrated officers).
Huna unalofahamu wewe, halafu mbona umekuwa na tabia za kimama mama mtu akikukosoa kidogo tu unampa tofali.

Sifa moja wapo ya Usalama ni kuishinda mihemko ila kwako ni tofouti kidogo, bila shaka ulikuwa assistant officer hukuwa ofisa kamili 😄
 
Naona sasa ni muda muafaka bandari zetu zikawa 'monitored directly' kutoka ikulu na special branch of IT graduate and highly motivated TISS operatives. ... hii itasaidia kupunguza safari za kushtukiza ambazo, naanza kuona, hazileti tija yeyote katika kudhibiti upigaji na kuongeza ufanisi!

Picha za video za kila kinachoendelea sehemu zote nyeti ziwe streamed muda wote zikiambatana na DATA za mapato na ufanisi wa ku'clear' mizigo ya wadau mbalimbali!

Hebu tazameni hii ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu na usome body language ya wahusika wakuu wanaohojiwa hapo. Hivi PM hadanganywi kweli hapo?

Aliyekuwa hadanganyiki ni Magu tu sababu aliweza kuwapenyeza ma informants kila sehemu.
 
Huna unalofahamu wewe, halafu mbona umekuwa na tabia za kimama mama mtu akikukosoa kidogo tu unampa tofali.

Sifa moja wapo ya Usalama ni kushinda mihemko ila kwako ni tofouti kidogo, bila shaka ulikuwa assistant officer hukuwa ofisa kamili 😄
Wenye kiu ya uelewa wameelewa. Hayo ya umama na kupigwa tofali ni yako binafsi.
 
Bandari za kwenye bahari nyingi zinasevu kama country entry point kwa hiyo pale Uhamiaji wapo, polisi, jeshi, usalama wa Taifa ambo pale wanaitwa state police, kikosi cha madawa ya kulevya, TFDA na kila aina ya sekta unayoijua.

Ndio maana zamani Mkurugenzi alikuwa anateuliwa na Waziri Ila kwa sasa Sheria ya Mamlaka imebadilishwa hivyo anateuliwa na Rais. Nadhani unaweza kuona hapo Rais anahusika moja kwa moja na ndio maana Mkurugenzi wanshirika kama bandari anaongea na president Mara nyingi kama Havana wa BOT pale ndio kitovu kikubwa cha mapato ya nje.
 
Naona sasa ni muda muafaka bandari zetu zikawa 'monitored directly' kutoka ikulu na special branch of IT graduate and highly motivated TISS operatives. ... hii itasaidia kupunguza safari za kushtukiza ambazo, naanza kuona, hazileti tija yeyote katika kudhibiti upigaji na kuongeza ufanisi!

Picha za video za kila kinachoendelea sehemu zote nyeti ziwe streamed muda wote zikiambatana na DATA za mapato na ufanisi wa ku'clear' mizigo ya wadau mbalimbali!

Hebu tazameni hii ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu na usome body language ya wahusika wakuu wanaohojiwa hapo. Hivi PM hadanganywi kweli hapo?

Hii point kabisa na vijana wengi wanaweza hii kazi, mama pamoja na waziri mkuu angalieni huu mchongo. Marehemu Ruge aliwahi kusema technology aidanganyi kabisa na sio uchawi.
 
Naona sasa ni muda muafaka bandari zetu zikawa 'monitored directly' kutoka ikulu na special branch of IT graduate and highly motivated TISS operatives. ... hii itasaidia kupunguza safari za kushtukiza ambazo, naanza kuona, hazileti tija yeyote katika kudhibiti upigaji na kuongeza ufanisi!

Picha za video za kila kinachoendelea sehemu zote nyeti ziwe streamed muda wote zikiambatana na DATA za mapato na ufanisi wa ku'clear' mizigo ya wadau mbalimbali!

Hebu tazameni hii ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu na usome body language ya wahusika wakuu wanaohojiwa hapo. Hivi PM hadanganywi kweli hapo?


Until when the committed, responsive and accountable head of state is availed by the citizens and crowned to safeguard the nation's interests without being coerced by the activists to push their polarized agenda.
 
Umemaliza Mkuu

Anachotaka kuona yeye ni maofisa wanaozunguka na bunduki bandarini:D
... naona wote hamjanielewa, mimi napendekeza bandari ziwe monitored, remotely, by TISS operatives wakiwa ikulu ambapo wataona kila kitu na kusikia kila kitu na kusoma documents na takwimu zote kwa kutumia videos na data zitakazokuwa streamed kutoka maeneo/na ofisi zote nyeti ya bandari zetu kupitia mtandao wa computa zote nyeti za bandari ambazo zinaweza kabisa kuwa 'integrated'na zile za ikulu!
... YAANI NATAKA BANDARINI PAWE BIG BROTHER SHOW YA KIAINA, ... NA RAIS AWEZE KUFUATILIA KILA ANAPOKUWA NA UMUHIMU AU MUDA WA 'LEISURE' WA KUCHUNGULIA HUKO NA HATA KUMHOJI MHUSIKA WA KITENGO CHOCHOTE CHA BANDARI!
Just cheap technology and IT is required for this!
NB: RESIDENT TISS AGENTS GET EASILY COMPROMISED AND CORRUPTED AND CAN EVEN START TO SYMPATHIZE WITH THE CROOKS!
 
Aliyekwambia Usalama wa Taifa hawapo bandarini nani?

Kukuelimisha kidogo: Kuna sehemu muhimu kwa taifa zinaitwa "Vituo muhimu" kwa kimombo "Vital installations." Bandari, viwanja vya ndege, BOT, Tazara, nk zote zina maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa, wa wazi kwa maana ya waliopo kwenye ofisi zilizopo kwenye taasisi hizo, na maafisa vipenyo (penetrated officers).
... acha nijaribu kuwa 'clear' zaidi, ... ni hivi: mimi napendekeza bandari ziwe monitored, remotely, by TISS operatives wakiwa ikulu ambapo wataona kila kitu na kusikia kila kitu na kusoma documents na takwimu zote kwa kutumia videos na data zitakazokuwa streamed kutoka maeneo/na ofisi zote nyeti ya bandari zetu kupitia mtandao wa computa zote nyeti za bandari ambazo zinaweza kabisa kuwa 'integrated'na zile za ikulu!
... YAANI NATAKA BANDARINI PAWE BIG BROTHER SHOW YA KIAINA, ... NA RAIS AWEZE KUFUATILIA KILA ANAPOKUWA NA UMUHIMU AU MUDA WA 'LEISURE' WA KUCHUNGULIA HUKO NA HATA KUMHOJI MHUSIKA WA KITENGO CHOCHOTE CHA BANDARI!
Just cheap technology and IT is required for this!
NB: RESIDENT TISS AGENTS GET EASILY COMPROMISED AND CORRUPTED AND CAN EVEN START TO SYMPATHIZE WITH THE CROOKS!
 
Kuna haja gani ya kuwa na Waziri mkuu, Waziri wa uchukuzi, Katibu mkuu, TPA na Mkuu wa mkoa kama mnataka Rais pia akafanye kazi bandarini??
Ninakubaliana na wewe; na hata Rais mwenyewe anaweza akawa ni tatizo, huwezi juwa!

Kwa nchi zetu hizi naona huwezi ukaweka matumaini makubwa sana kwa mtu mmoja kama rais.

Kwa nchi kama Tanzania, Bandari hii na zingine zndizo zingekuwa biashara nzuri sana kwa nchi hii. Naona sijui kwa nini hatulitambui vyema jambo hili!

Imekwishaonekana wazi hapa kwamba Bandari yetu hii ya Dar es Salaam ina vikwazo vingi, vingine vikiwa ni njama tu za kibiashara. Imekuwa rahisi sana siku hizi kukwamishwa, sijui tumelegea wapi hata haijulikani?

Hii sehemu sasa inafaa iendeshwe kijeshi, hata kama ni raia wanaisimamia. Unafurunda, unapigwa "martial court", na kama umebainika kuwa mhujumu, msaliti, unakula shaba.

Inafaa sasa twende huko, lakini kwa bahati mbaya hakuna 'kichaa' tena wa kutufikisha huko.
 
Kuna haja gani ya kuwa na Waziri mkuu, Waziri wa uchukuzi, Katibu mkuu, TPA na Mkuu wa mkoa kama mnataka Rais pia akafanye kazi bandarini??
... a safe treasure chest is the one which has a lock that requires the biometrics of more than one bosses to get opened, ... and the ultimate boss, if involved, makes the treasure even safer!
 
Back
Top Bottom