mpotoshaji mkubwa ww mi nilikuwepo msibani hapo ni wakati mchungaji anaomba wote tulisinzia . ukome na ukome na ukome kwa uongo . ukirudia uongo wako Mungu akushughulikie
Escro !!! Twiga kupanda ndege !!! na utuambie baada ya fisadi Lowasa kutoka ccm yamebaki mafisadi mangapi huko ccm ? usitutie ujinga wewe sisi tunajua cha kufanya hatuhitaji maelekezo yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.