Jamaa kakosea kwenye typing but nia take ni kwamba girlfriend wake wakifanya tendo anaumia maana Anachubuka,kwahiyo mpaka week hadi week ili maumivu ya kuchubuka yapungue kidogo ndo anapewa
Jamani ninapopata papuchi na wife wa miaka mitani anadai anapata mchebuko.
Hivyo ninalazimika kusubiri kwa siku 5 au wiki bila kupata Huduma tena.. isitoshi ni mwanamke mbaye nilikutana akiwa kwenye game kwa muda mrefu...kwa ufupi,tatizo ni nini hasa....
Ndo maana yangu.......
Jamaa kakosea...
1.Umepishana sana ki umri
2.Mitazamo tofauti kimaisha
3.Dini tofauti tofauti
4.Mwanamke aliyetokea ghetto si kwa wazazi
5.Ulidetiwa kwa muda mrefu mwisho wakaachana
6.Anapenda starehe zaidi ya kujenga familia
7.Ana asira na wivu kupita kiasi
8.1-7
ipo karibu na shule ya secondary feza, ni vyumba vitatu vya kulala,master moja,sebule kubwa,uwanja mkubwa,geti na iko baribarani kabisa.. ni laki 8 kwa mwezi,malipo mwaka moja.. interested ani pm
1.video camera 3m
2. mini laptop 250
3.pikipiki haina ya fekon 1.2 m
note: mini laptop na kasora moja tu kwenye screen.inaweka lini moja nyeusi. unaweza kuibadilisha, pia unaweza kuitumia hivyo.pikipiki imetumika kwa miezi sita tu.kila kitu kiku fit..
INTERESTED ANI PM
UFAFANUZI: No 1.hawezi kuachana na yule baba ya mtoto... atajifanya mwanzo mwisho mzee ataendelea kula mzigo kama kawaida.
No.2 ana stress ya maisha na asimilia kubwa ameolewa kwasa babu ya muda, si mapenzi ya dhati.
No 3.Anapenda sana cha juu hivyo matumizi ya ndani atakua anakupiga bao kila...
1.Ana mtoto na mtu mwingine
2. Amekaa single muda mrefu
3. Ameishawahi kua barmaid
4. Ni white au ngozi nyeupe
5.Ni mzuri kupitia kiasi
6. Ni model
7.Nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.