Sipati unyumba kisa mchepuko

Sipati unyumba kisa mchepuko

jamani ninapopata papucho na wife wa miaka mitani anadai anapata mchebuko.. Hivyo ninalazimika kusubiri kwa siku 5 au wiki bila kupata Huduma tena... isitoshi ni mwanamke mbaye nilikutana nae akiwa amedumu ghetoni kwa muda..na alionakane ana uzeofu kwenye game kwa muda mrefu.. kwa hili fupi.. tatizo ni nini????

Pole mkuu, ila ninawaswas we tajiri ng'ombe au duka.
 
Habari ya asubh wakuu humu ndani! Mm namshukuru Mungu dunia inavozunguka. Pole yenu nyie mlokesha na kukosa usingizi. Ila pongezi kwenu nyote mnaochangia humu. Ndo ujenz wa jamii huu, wengne wanajenga na wengne wanabomoa ili muradi tuko kweny msafara. ILA WENGI WANAFANYA VEMA. Xo, let go.

Mtoa mada ni mgeni humu, namsoma kam mi std 7 waliosoma chin ya mkorosho. Kizuri ni kwamba anajaribu kujieleza, na heri yake pia kampata mkuu Viol, wameelewana. ATASAIDIWA.

Weng wape. Lisemwalo lipo. Shyland uschoke na hawa vijana japo wasemayo ni kweli tupu. Hiki ni kizaz cha wasomi...hata ukicheka au kuongea bado watakusoma tu. JIFUNZE HUMU HUMU..utakuwa vizuri kama wao.
 
naona ukame wa siku tano tano unakufanya i uione o na o uione i.....pole mkuu ndo ndoa iyo
 
wengine mnakuwa na access na hii mitandao kwa vile tu mnaweza miliki simu, tab, pc nk ila suala la kusoma we jamaa sijui ulikimbia bakora au ndo akili imeishia hapo

haujui kuwa humu kuna wakenya wauganda warwanda nk
 
usipende kunifananisha na watu ambao hawajielewi kama mtoa mada. unanifunjia heshema shangazi yangu.

shy land we ndo uliyesoma adi elimu ya juu? hivi unaelewa umeandika nini apo eti na wewe unawadanganya watu sijui umesoma wapi wapi uko Finland hahahahaaa
 
shy land we ndo uliyesoma adi elimu ya juu? hivi unaelewa umeandika nini apo eti na wewe unawadanganya watu sijui umesoma wapi wapi uko Finland hahahahaaa

Ahaahaaha mamy na wewe mfukunyuziii ahahaaaha unafukunyuuuaaaa
 
daah mbona nimetoka kapa, mod mtafuteni huyu aje arekebishe bandiko lake
 
Labda humuandai vya kutosha unamuingilia bado uke wake ukiwa mkavu. Jaribu na pia kupunguza mapenzi ya nguvu nguvu.
 
hivi ni mimi tu sijaelewa au hadi
Moderator???eti wewe umeelwa
 
Last edited by a moderator:
Jamani ninapopata papuchi na wife wa miaka mitani anadai anapata mchepuko.
Hivyo ninalazimika kusubiri kwa siku 5 au wiki bila kupata Huduma tena isitoshi ni mwanamke mbaye nilikutana nae akiwa amedumu ghetoni kwa muda na alionakane ana uzeofu kwenye game kwa muda mrefu kwa hili fupi,tatizo ni nini.

Kwa aliye elewa atufafanulie mtoa mada anataka kueleza nini hasa,nimetoka kapa.
 
Jamaa kakosea kwenye typing but nia take ni kwamba girlfriend wake wakifanya tendo anaumia maana Anachubuka,kwahiyo mpaka week hadi week ili maumivu ya kuchubuka yapungue kidogo ndo anapewa
 
Back
Top Bottom