Kwanza hukujibu swali nililokuuuliza.
Pili, ukisoma Part II, Article 2, Sect 1, ya IGA, inasema kwamba "the objective of this agreement is to set a legally binding framework..... " Naomba ufafanue hapa kama IGA sio enforceable by law.
Kwa nini kuwe mgogoro in the first place wakati ni makubaliano tu ambayo sio enforceable by law? Mgogoro utokee wapi ikiwa kila mojawapo anaweza ku walk away kutoka kwenye haya "makubaliano" bila ya ķuwa na consequences zozote?
Usianze kutumia lugha za kudhalilisha eti uelewa ndio tatizo kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.