Viogoz wadini wako bize kuiombea serikali iendelee kuteka nakutekeleza mauaji kwa wapinzani wake. Wakishamaliza kutekeleza matukio wanafiki wakubwa wantokeza kwenye Vyombo vya habari kukemea tukio akati wamelitekeleza wao. Mungu anawaona hata wao hawatadumu milele wapumbavu kabisa
Sent using...
Sawa lakin nani anapendekeza uvunjwe? Kama si wazir mwenye dhamana? Tuwe wakweli anakotupeleka huyu mukuru mungu anamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanayofanywa na wateule wa Rais yanabaraka za Rais yasingekuwa na baraka zake ange wachukulia hatua. Mfano mambo ya kijinga yaliyo fanywa na mkuu wa mkoa flani kuvamia ofisi za watu nakuiba documents za ofisi ni upumbavu tena bosi wake anamsifu Kwa maovu yake nakumwambia achape kazi asisikilize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.