Sasa si Lisu anataka huruma; nimekosea wapi?Kweli wewe ni magonjwa mtambuka!
Mmmh,ni mawazo yako!Tuacheni Masihara,Huwezi Mlinganisha au Mshindanisha TunduLissu na Magufuli,TunduLissu hafai hata kuigwa lkn Magu anafaa kuigwa,TunduLissu hafamiki kama wengi wanavyodhania lkn Magufuli anafahamika 99.999999% Pia TunduLissu na chama chake(Chadema) hawana sera za kuwafanya wachukue Dola(Nchi) lkn Magufuli na chama chake(CCM) wana Sera za kufanya Dola(Nchi) iwe himaya tena ya kudumu!
Sisi ndio tunamuomba agombee, ikulu hapakimbiliwi kama yule aliyejaribu akasukumiwa huko.Kwani tumesema anatamani au?
Apone kwanza majeraha ya risasi tumpiime kama ataweza mikikimikikiNadhani huu mchuano utakuwa mkali kuliko ule wa 2015...
Tundu Lissu kwa sasa ndiye anayeonekana kuwa mpinzani wa kweli wa awamu ya tano..
Mwanasiasa ambaye kwa sasa ana "huruma" ya jamii kutokana na yale yaliyomkuta...
Je,itakuwaje kama atagombea urais wa Tanzania 2020?
Usimshindanishe Tundu Lisu na vitu vya ajabu ajabuNadhani huu mchuano utakuwa mkali kuliko ule wa 2015...
Tundu Lissu kwa sasa ndiye anayeonekana kuwa mpinzani wa kweli wa awamu ya tano..
Mwanasiasa ambaye kwa sasa ana "huruma" ya jamii kutokana na yale yaliyomkuta...
Je,itakuwaje kama atagombea urais wa Tanzania 2020?
Ata akiwa amelala.kitandani mamaeee zao mtu akiiba kura yangu ninaondoka naye!!Chadema wasipo mpitisha huyu mtu...watakosea sana!