Nikweli, broo nami najua huna nia mbaya. Lkn hebu fikiria kama nisahihi kuwa na uhusiano na mtoto mdogo kama yule. Yaani hata kama unamsubiri, amalize shule bado si sahihi labda kama utamsubiri amalize PHD! Kuwa na mawazo sahihi tena, usimwekee malengo ya kumsubiri amalize 4m4 tu. Kwani sisi...
Plz, and plz, wapuuze wanao kushauri uachane na Mumeo. Nikwambie. Zungumza naye kwa upole, tena mbembeleze sana. Lakin pia angalia namna ya kurudisha mwili wako wa zamani (mwembamba) maana si uongo ni kweli sisi wanaume wengi wetu hatupendelei wana wake wanene na wenye makario makubwa. Jaribu...
Usiogope mdogo wangu kawaida2. Mbona una umia kuwapa totozy vijisenti? Ushauri wangu! Acha kuwatongoza ovyo. Ila tafuta mmoja mkweli na mwaminifu uoe nawewe uwe mwaminifu kwa mwenzio ili hivyo vidola ufanyie mashoping na matanuzi na wife. Hapo vipi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.