Katika kuhakikisha wafanyakazi wa serikali wanatumia muda wa kazi vizuri.
Tunaomba Rais Magufuli afute utaratibu wa kulipa overtime serikalini.
Itaonekana kama nawachukia watu lakini kiukweli hata hili zoezi la raisi kupunguza gharama za serikali, wafanyakazi hewa litafanikiwa vizuri zaidi...
smartfocus
Sometimes it's difficult and you don't like it, but it makes you stronger. Invite criticism, confront it, find the value in it, and make it your friend and ally!
Kuhudumia taasisi/clients 400 ni ndogo sana kwenye IT kama unaelewa namaanisha nini. I once worked as an IT Forensic...
smartfocus najua kwa uhakika kitu gani nauliza. Sina nia ya kuchafua reputation ya taasisi za watu. Na nilichouliza kinawahusu eGA na sio site zilizohostiwa nje ya eGA.
Mimi na-support kazi wanazofanya eGA, ingawa watakuwa na challenge zao za hapa na pale kwa sasa kwa sababu bado wachanga...
Hi,
eGA kuna issue gani? Naona kuna tatizo la kupata sites za .go.tz mara kwa mara.
Ni muhimu wawe reliable kwenye availability ili kuongeza kuaminiwa.
Siku zote ni ngumu sana kujicontrol kucheza mziki ambao unausikia mara kwa mara. Iwe nyumbani, barabarani, kwenye migahawa au kwenye sherehe. At some point your unconscious mind itaurudia tu.
Sasa omba usiucheze kwenye open space hatarishi. Maana ukijigonga tu, wenzio watadhani jipu na...
Movie nyingi huonyesha Majasusi/Spies wanaofanya kazi zenye kuhitaji kutumia nguvu ya mwili, ambao wengi hutokea jeshini. Na movie hizo ndio hupendwa na watu wengi hadi kutamani wao kuwa majasusi. Mfano, November Man, James Bond Series n.k.
Lakini ieleweke kuwa spy sio lazima awe mpiganaji tu...
Nilitegemea kuona statement kama hii muda wowote kipindi hiki. Hivyo mmeprove kuwa kipindi hiki ndio hot kwa mauzo ya zao hili.
Sasa nilitaka kuuliza, je kuna mtu yeyote ameshawahi kutumia ushauri wa wataalamu wa BALTON? au YARA?
Maana nimeambiwa ukiwatumia hao, hakika utapata maximum...
What happened to a much budgeted website with lots of promises? www.tanzania.go.tz
It is sad to say that in this modern world where everything is shifted to mobile devices, our own brand new website is not optimized for mobile devices.
What you see on desktop PC is what you will see with...
Kwa mara yangu ya kwanza kusikia mgao wa umeme usiohusisha ukosefu wa maji au gesi.
Hongereni Tanesco kwa kutupa updates. Lakini bado naona hakuna Disaster Recovery Plan yoyote. Na hii ni mbaya endapo watu wenye nia mbaya kama al-shaabab wakiamua kushambulia mitambo yetu. Basi tutakaa gizani...
Try the following Link
Download Adobe CS6 Trials: Direct Links (no Assistant or Manager) | ProDesignTools
Adobe Community: Looking for direct download links for Creative Suite trial versions?
Tanzania yawa nchi ya 159 duniani kwa umaskini (26 from Bottom). Ripoti hii imetoka International Monetary Fund World Economic Outlook Database, April 2013. These data are on Gross Domestic Product (PPP) Per Capita 2009-2013
Unaweza kusoma zaidi hapa: The World's Richest and Poorest Countries |...
gem08,
Hizi site
Welcome to Medical Stores Department | Medical Stores Department,
The Official Website of Azam Football Club | Tucheze pamoja kwa furaha)
nilizolist hapo nimedesign mwenyewe na nimekutana na vipingamizi vingi sana kwenye kazi hizi za website hapa Tanzania.
Cha muhimu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.