Jamani sitaki kuangalia picha wala nini ila nilikuwepo na watu walikuwa wengi saaaaaaaaaaaaaaaana. That's all. Achana na picha bali uliza tuliokuwepo. Watu walikuwepo wa kutosha. Mengineyo ni ushabiki tu.
Na sisi CHADEMA tumezidi kila kukicha tunafurahia ooh watu 100 wajiunga CHADEMA, ooh watu million 2 wamehamia CHEDEMA. Hivi hao watu hata hatujali kujua kweli wanaipenda CHEDEMA au ni kwavile tu tunataka population iongezeke? That is very bad. Wengi wao sasa ni kama akina Shibuda.
Wee vipi??????????????? Hili jembe limesepeshwje? Lipo linadunda labda kama wewe mwenyewe ndo umesepeshwa. M,wanry yupo ndani ya baraza au umesoma na kusikiliza between the line?
Mwee umenikumbusha kitimoto cha Mbeya kitamu saaaaaaaaaaaaaaaaaaana. Mbona vipo kila mahali huko si unajua huko ndo waanzilishi wa huyo mdudu na wanampenda san tena bei rahisi sio kama Dar.
Sometimes tuwe tunakuwa wakweli. Iringa chadema sio kihivyoooooooooooo. Hata msigwa na akina chiku wanajua. Shukuruni tu ccm walivyo mess kumweka mama mbega na kumtoa mwakalebela otherwise hakuna kitu pale. Panahitaji kuimarishwa. Msigwa ilikuwa bahati nasibu. Acheni ugomvi imarisheni chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.