kweli nimecheki michuzi blog sikuamini
haiwezekani watu ktk picha moja wawe wanaangalia eneo tofauti.
lakini kwa vile ni mzee wa nja
na mda mwingi anasafiri na magamba na viongozi wengine wa kigamba
hana budi kuwabeba kwa njia yoyote ile
ili mradi mdomo uende kinywani.njaa itatumaliza wengi ikiwezekana hata kuuza mtu ili upate hela.
Mkuu Lokissa sijaona kutufe cha like......chukua tano
Yaani hawezekani nape anatoa hotuba na kinana kaangalia pembeni je ni bodyguard wake? maan ni kama alikuwa
anaangalia usalama wa sehemu nyingine
SOON MISUPU ANAWEZA KUZIPOTEZA HIZI PICHA MAANA NI AIBU AIBU.....
Mkuu Lokissa sijaona kutufe cha like......chukua tano
Yaani hawezekani nape anatoa hotuba na kinana kaangalia pembeni je ni bodyguard wake? maan ni kama alikuwa
anaangalia usalama wa sehemu nyingine
SOON MISUPU ANAWEZA KUZIPOTEZA HIZI PICHA MAANA NI AIBU AIBU.....
Mnachunganya tu wengine ambao hatukwenda jangwani wala kuona kwenye Runinga. Wekeni basi hizo picha ambazo ni sahihi. Ambazo ni za leo na si za 2010. Wekeni ambazo hazijachakachuliwa. Yaani mtu unazungushia fulana iliyoandikwa 2010 unataka tuamini kwamba hao walikuwa kwenye mkutano wa kampeni 2010! Kwa hiyo watu hawavai fulani wala kofia za 2010 za CCM? Mbona uswabilini kwangu wengine wanatumia hizo fulana kuendea makanisani.
yaani inamaana duplication ya watu ilivyofanyika hujaona? angalia watu wanavyojirudia rudia humo mlimozungushiwaMnachunganya tu wengine ambao hatukwenda jangwani wala kuona kwenye Runinga. Wekeni basi hizo picha ambazo ni sahihi. Ambazo ni za leo na si za 2010. Wekeni ambazo hazijachakachuliwa. Yaani mtu unazungushia fulana iliyoandikwa 2010 unataka tuamini kwamba hao walikuwa kwenye mkutano wa kampeni 2010! Kwa hiyo watu hawavai fulani wala kofia za 2010 za CCM? Mbona uswabilini kwangu wengine wanatumia hizo fulana kuendea makanisani.
Red Giant unasema wanajirudia haya sawa. Sasa leteni ambazo hazijirudii yaani za kweli ambazo hazijachakachuliwa ili tyone na ku compare. Au leo picha hazikupigwa?yaani inamaana duplication ya watu ilivyofanyika hujaona? angalia watu wanavyojirudia rudia humo mlimozungushiwa
kwenye jukwaa la picha kuna baadhi ya picha. inasemekana viti vimechangia sana watu kuonekana nyomi.Red Giant unasema wanajirudia haya sawa. Sasa leteni ambazo hazijirudii yaani za kweli ambazo hazijachakachuliwa ili tyone na ku compare. Au leo picha hazikupigwa?
Oluoch huyu Michuzi kwa sasa ni mpiga picha wa Ikulu kwa maana kwamba yupo pale ofisi moja na Salva rweyemamu, pale tayari ni shavu la kutosha kuliko hata ukuu wa wilaya, Take it from me!kwa jinsi nilivyotazama hizo picha,nimegundua kuwa zilikuwa za kampeni za urais mwaka 2010. Huyo Michuzi kahadaa watu katika blog yake uchwara. Bila shaka anafukuzia ukuu wa wilaya,maana kwa kazi kama hiyo ya kuhadaa watu kwa picha si bure
Mkutano wa leo ccm walikaa kwenye viti sasa mbona hizi picha wamekaa chini?
Sijui leo imetokea nini nikaenda kubrowse kwa michuzi maana huwa siendi
nilichokuta sikutegemea mtu na professional yake ya mtaan ya kupiga picha
anadiliki kuchakachua hizi picha
Bro Michuzi unachakachua kwa manufaa ya nani? Njaa mbaya
Mod naomba mnisadia kuattach vizuri ikiwa zimekaa vibaya