Recent content by Bwana uber

  1. B

    Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

    Ila huyo keagan anababa wa ajabu haijawahi tokeaa
  2. B

    Nalia machozi na kuwaangukia tena watanzania wenzangu mnisaidie

    Pole mkuu,hizi ni changamoto za maisha,sali sana naendelea kumwomba mungu utafanikiwa tu,usikate tamaa
  3. B

    ITAZAME VIDEO HII YA MHESHIMIWA HUYU KWA UMAKINI

    wakuu naomba tushirikiane kuitazama video hii kishatuambiane umegundua nini kupitia video hii,,,Mimi nimeona anashika kifua wewe Je?
  4. B

    Hivi kwanini Maprofesa wengi ni wazee?

    Naomba niende moja kwa moja kwenye mada Kwa utafiti mdogo ambao nimeufanya nimegundua maprofesa wengi ni wazee,vijana ni wachache mno. Je, ni kwamba elimu ya wazee hawa ambao ndo wengi ni maprofesa ilikuwa rahisi kipindi hicho kuliko elimu ya sasa hivo ilikuwa rahisi kuupata uprofesa? Au...
  5. B

    Ni kwanini mtu akifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI huwa hawatangazi sababu ni ugonjwa huo?

    Jamani katika jamii zetu huku mara nyingi watu wanaokufa kwa UKIMWI huwa hawatangazi pale msibani kama marehemu amefariki kwa ugonjwa wa UKIMWI Mtu mnajua kabisa kama ana UKIMWI lakini akifa pale msibani mtangazaji mtasikia akisema marehemu amefariki kwa ugonjwa mwingine tofauti kabisa,. Je ni...
  6. B

    Wanawake wazuri hawafai kuolewa?

    Kabisa mkuu yaani ni tatizo kubwa sana
  7. B

    Wanawake wazuri hawafai kuolewa?

    Wakuu habarini humu ndani.. Mwenzenu nimegundua kitu kuhusu wanawake wazuri sana na warembo. Hawa watu hawafai kuoa! Kwanza asilimia kubwa wana roho mbaya hawawezi kuishi na ndugu, hawana akili ya maisha, ni malaya, sio wavumilivu ndani ya ndoa na wana kasoro nyingi mno. Nilichogundua...
  8. B

    Kama Katiba ya CCM hairuhusu Rais kupingwa muhula wa pili kwanini wanahangaika na Membe?

    Habarini wakuu. Kuna stori nyingi mtaani na pia kwenye mitandao yakijamii kumuhusu Benard Membe kuwa anakwamisha juhudi za Rais na pia anataka kugombea urais 2020 na hizi habari nasikia zimewashitua sana huko Lumumba. Hivi katiba ya chama ya mtukufu kugombea bila kupingwa kwani haikupitishwa...
  9. B

    Nini kimempata Dr. Mwigulu Nchemba?

    Habarini wanajamvi Jana nikiwa nimekaa naangalia chanel yangu pendwa ya Emanuel Tv inayomilikiwa na mtumishi wa mungu Tb Joshua, nilipata mshtuko kidogo kumuona waziri wa zamani wa Mambo ya ndani Dr MWIGULU NCHEMBA akiwa ndani ya kanisa na akionekana mtu mwenye shida kubwa akiwa anasubili...
  10. B

    Sumbawanga kweli ni hatari!!

    Ahahaaa,umepanic broo m huniwezi,m ni zaidi ya zito kabwe.jambo la msingi mkuu acha uchawi broo huyo mbwa ipo siku atakuumbua.
  11. B

    Sumbawanga kweli ni hatari!!

    Brother acha kuzuga watu hapa jamvini huyu mbwa ni wako wewe mwenyewe maana inasemekana wewe ndo mchawi mkubwa wa hicho Kijiji.u sharoga watu kibao hapo.acha unafiki broo
  12. B

    Jifunze kitu hapa - TRUE STORY

    Pole sana mkuu naelewa unapita kipindi kigumu mnoo,muombe sana mungu sana sana maisha yako yatabadrika tu.hakuna linaloshindikana kwake
  13. B

    Unyanyasaji wa kimapenzi

    Jamani naomba kueleweshwa nini maana ya unyanyasaji wa kimapenzi,nimekua nikisikia nchi za wenzetu hasa huko kwa Trump kuna watu wanakesi za unyanyasaji wa kimapenzi,.Je nahapa kwetu kuna kesi kama hizi?maana sijawah kusikia au hapa kwetu hakuna unyanyasaji wa Kimapenzi?
  14. B

    Dar: Madereva wa Uber wailalamikia Uber kwa manyanyaso

    Jamani kwema humu ndani? Mwenye taarifa yoyote juu ya ule mgomo wa madereva wa Uber atupe mrejesho.mgomo unaendelea au umeisha?
Back
Top Bottom