feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,784
- 12,594
Kitu ambacho kwa sasa kinanishangaza kwa huyu bwana sio mavazi maana hayana maana sana "utendaji wake wa kazi,magari anayotumia utasema analipwa mshahara wa 20M kwa mwezi na kiburi alichonacho vyote vinatoka wapi"
Mungu amuweke huyu mtu muda mrefu ili ajifunze kabla hajafa
Mungu amuweke huyu mtu muda mrefu ili ajifunze kabla hajafa