Recent content by Bwana Muki

  1. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania AMA KWELI DUNIANI WAWILI WAWILI

    Watu ni wa ajabu sana yani.
  2. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania AMA KWELI DUNIANI WAWILI WAWILI

    Kama nidhamu inapimwa kwa kumpost Samaki sawa [emoji23][emoji23]
  3. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania AMA KWELI DUNIANI WAWILI WAWILI

    Siwezi potea coz sijataja mtu mzee.
  4. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania AMA KWELI DUNIANI WAWILI WAWILI

    Waswahili hawakukosea pale waliposema "Duniani wawili wawili", yaani binadamu tunafanana. Lakini ulishawahi kujiuliza kama unaweza kufanana na viumbe hai wengine tofauti na binadamu?? Mtizame huyo samaki kisha nambie anafanana na nani.
  5. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania JIFUNZE KUWA MUWAZI.

    Huwezi kuwa muongo milele ati...
  6. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania JIFUNZE KUWA MUWAZI.

    Mi nadhani ur life matters.
  7. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania JIFUNZE KUWA MUWAZI.

    Hata ukidanganya mwisho wa siku mtaachana tu.
  8. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania JIFUNZE KUWA MUWAZI.

    Bora uwazi sasa [emoji1]
  9. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania Latest Movies....series..kali kali. Weka hapa for this festive season.

    Tazama "Queen of South"
  10. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania JIFUNZE KUWA MUWAZI.

    Ukweli unajichuja tu mjomba. Titapiga ndarire nyingi lakini tunarudi pale pale.
  11. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania JIFUNZE KUWA MUWAZI.

    Masalkheri ndugu, Wengi wetu hatupendi kukosolewa. Hii hutokana na kuogopa kuonekana mbaya na pengine kuachwa. Tabia hii hutufanya tulazimishe maisha yetu yaenande na ya watu wengine. Lakini tukumbuke, TUKO TOFAUTI. Unaweza kuchukia kitu fulani ila mimi ninakipenda. Na tutafahamiana vipi...
  12. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania Umahiri wa Waandishi na Media zetu uko wapi?

    Ukweli mtupu. Si tu kwa watu mashuhuri, hata matatizo kwenye jamii zetu. Ukeketaji, ndoa za utotoni, unyanyasaji wa wanawake n.k Hata makala ya baba wa taifa iliyoandaliwa vema kwa lugha ya kiswahili sijui kama ipo..
  13. Bwana Muki

    JamiiForums Tanzania Zahera":Hakuna kiungo kama Haruna moshi Tanzania,kanikumbusha kiungo wa zamani wa Ac Milan zvonimir Boban

    Yanga mnadaiwa mpaka na waganga.
Back
Top Bottom