Bwana Muki
Member
- Dec 13, 2018
- 13
- 9
Masalkheri ndugu,
Wengi wetu hatupendi kukosolewa. Hii hutokana na kuogopa kuonekana mbaya na pengine kuachwa. Tabia hii hutufanya tulazimishe maisha yetu yaenande na ya watu wengine. Lakini tukumbuke, TUKO TOFAUTI. Unaweza kuchukia kitu fulani ila mimi ninakipenda. Na tutafahamiana vipi?? Jibu ni sote kuwa WAWAZI.
Ni vema kuwa muwazi. Hata kama watu wakikuacha, umeokoa MUDA. umeokoa muda wa kughushi maisha ya watu wengine na kukumbatia vitu ambayo havikupendezi. Mfano
Wafanyakazi wenzako wanapenda kwenda club na kupiga likwidi kila wikiendi na wewe hupendi, ni vema kuwa muwazi. Hata wakisepa, uzuri wewe utabaki na maisha yako na roho inapenda.
Mahusiano mengi yanafeli sababu yanakosa uwazi ndani yake. Watu wanachukuana huko kwa jina la mihemko, wanaburuzana na mwisho unakuwa mbaya siku zote. MAPENZI YA DHATI NI UWAZI.
KUWA MUWAZI. UWAZI UNAOKOA MUDA.
Wengi wetu hatupendi kukosolewa. Hii hutokana na kuogopa kuonekana mbaya na pengine kuachwa. Tabia hii hutufanya tulazimishe maisha yetu yaenande na ya watu wengine. Lakini tukumbuke, TUKO TOFAUTI. Unaweza kuchukia kitu fulani ila mimi ninakipenda. Na tutafahamiana vipi?? Jibu ni sote kuwa WAWAZI.
Ni vema kuwa muwazi. Hata kama watu wakikuacha, umeokoa MUDA. umeokoa muda wa kughushi maisha ya watu wengine na kukumbatia vitu ambayo havikupendezi. Mfano
Wafanyakazi wenzako wanapenda kwenda club na kupiga likwidi kila wikiendi na wewe hupendi, ni vema kuwa muwazi. Hata wakisepa, uzuri wewe utabaki na maisha yako na roho inapenda.
Mahusiano mengi yanafeli sababu yanakosa uwazi ndani yake. Watu wanachukuana huko kwa jina la mihemko, wanaburuzana na mwisho unakuwa mbaya siku zote. MAPENZI YA DHATI NI UWAZI.
KUWA MUWAZI. UWAZI UNAOKOA MUDA.