Kukuambia Kwamba Ana Boyfriend Haimaanishi Kwamba Hakupendi. Swala la Msingi Ulilofanya la Kumueleza Ukweli wa Moyo Wako Ni Nguzo Yako Muhimu.
Good thing ni kwamba, she's still close to you and moreover, she smile at you! Hapo upewe nini tena.
Fanya hivi, Endelea Kuwa Naye Karibu, Epuka...
Crowd sourcing au raising ni harambee ya kuchangia pesa kupitia mtandao. Ni njia mojawapo ya kuraise capital.. Kwa wenzetu ni swala official na kuna website maarufu sana kwa kazi hiyo sema kibongo bongo kwa kuwa tushang'atwa na nyoka kama DECI, bas hata tukigusa na jani tu tunashtuka na kuogapa.
Ila Kweli, Hata Mimi Ningependa Kufahamu Mkuu.
Na Ajira Zao Zinatokaje? Mpaka Upitie JKT au Unajiunga Moja Kwa Moja Wataenda Kukupa Mafunzo Maalum Kwenye Chuo Chao?
Hakuna haja ya kumtafunia mtu kila kitu. Naamini ujumbe unatosha kumu inspire mtu na achukue hatua za kutafuta elimu zaidi.
Ujumbe mzuri, I'm inspired!
Ni Kweli, Umemjibu vizuri mkuu. Kusota mtaani ni jambo la kawaida na ukiliweka mbele sana waweza kuachana na career yako ambayo unataka kuisomea. Na haijalishi kozi, waliochukua BAED NA BED karibia mwaka mzima wapo home, na hawajajua hatima yao mpaka sasa. Ni kujipanga tu
Unakua MCHUMI. Unaweza kuajiriwa kama mchumi kwenye halmaishauri za mikoa na wilaya, unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha, ngo, au Kama wengi walio na ndoto za benki kuu waweza kuajiriwa pia. Si kozi mbaya japo waweza sota mtaani kidogo.
Good Analysis.
In my simplest word to JPM is that.. We, many Tanzanians are confotable with his spoken intention. We are very eager to be middle income country with good industrial base.
The only thing that drive us to think in different way against him is 'his entire intention' which is...
Habari Eric.
Watu Wengi Chuo Wanaangalia Vitu Vifuatavyo
-Interest yako. Yani ungependa kusoma nini?
-Mkopo. Kuna Kozi ni Nzuri ila priority zao kwenye mkopo ni ndogo sana. Kozi karibia zote za biashara including hiyo Human Resource huwa hazina kipaumbele. Hata Law. Kwa msingi unaeza kuta mtua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.