Mkuu habari, mimi nakushauri uweke akiba yako pale Jubilee Life Insurance wana hii product inaitwa PPP (Personal Pension Plan) ambayo interest yake minimum ni 5% guaranteed. Unaweza itoa muda wowote bila makato na haina charges zozote (hata tax hamna). N nzuri kwa kuwa unaweka unavyotaka na...
Habari wadau,
Nina shida kwa mwenye kujua jinsi ya kutengeneza photocopy machine aina ya Canon IR2202. Nikiiwasha inaandika 'Download Mode, Please wait'. Nimejaribu kusoma mitandaoni lakini nimeshindwa kuweza tatua tatizo hili. Kwa mwenye ujuzi ama kumjua fundi mzuri wa hizi Photocopy machine...
Mkuu, mimi sioni tatizo hapa kwenye Road Licence mpaka useme unaona bora ifutwe. Nadhani kikubwa ni 'awareness' iongezeke kwa walipaji kodi hawa. Unakuta mtu gari limepata matatizo analipaki bila kufata taratibu husika. Gharama tunazotozwa ni ndogo na reasonable tu.
Ni video games, tofauit kidogo na computer. Usitake niambia hujawahi come across hizi games at all. Itabidi utafute mkuu, very user friendly kwa gamers
Mkuu. Hope sijachelewa kukujibu hapa. Mimi binafsi nafanya hii biashara na ki ukweli inalipa kama uko makini na unajua kuhusiana na games za watoto. Binafsi nilianza na mtaji wa TZS 2 milion. Mimi ninachezesha Play Station 3 na Xbox One. NIna Play Station 3 tatu na X box 1. MAuzo kwa siku ni...
Mkuu, kama uko India nadhani Bank of India, BAnk of Baroda na I & M Bank zitakufaa zaidi. Gharama za kutuma kuja kwenye account yako ni nafuu zaidi. Kikubwa fungua account kabisa kabla hujaondoka, the rest is history!!
Mkuu, tafuta moja kati ya hizi series kali...
1. Designated Survivor
2. Narcos
3. 24
4. Prison Break
5. House of Cards
6. Scandal
7. Homeland
8. Graceland
9. The Blacklist
10. Revolution
11. Arrow
12. Missing
13. Power
14. The Walking Dead
15. Tyrant
16. Gang Related
17. Crisis
18. Hostages
19...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.