Recent content by busunzu

  1. B

    Dkt. Slaa ziarani: Mikutano ya Desemba 5, Kakonko, Kigoma

    hivi nakaa najiuliza kwa nini ccm wanashindwa kutupa maisha bora wana baki kupambana na cdm suala la Zito na kigoma kama kweli wanania ya dhati na watu wa Kigoma wangetuacha mpaka leo ndio mkoa ulioko nyuma kimaendeleo?Ccm fanyeni kazi maana porojo za ukabila na ukanda hazijengi chama watu...
  2. B

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Hivi wale madiwani wachadema wa Arusha walikua kabila gani?au wadau haki ikitendeka kwa mtu mwingine ndio kuna ukabila sio ccm na vibaraka njooni na hoja bana hayo mengine ni swaga tu
  3. B

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Hivi kuna gereza lakuweka watu wote wa mtwara yaani vijana wote.Mimi natoa wito kwa serikali itumie busara kuliko nguvu kama nchi za libya,tunisia n kwingineko lakini mwisho wa siku wananchi walishinda kwahiyo serikali ya ccm ijiangalie kwa jicho la mbali isije ujichimbia kaburi lake
  4. B

    Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo

    Wewe leta mada umesahau bunge ni sehemu ya kutunga sheria za nchi sio za jimbo lolote,unapofika bungeni ni maslai ya taifa kwanza.Sasa lissu ndio yuko kwaajili hiyo kuweza kuthibiti vihiyo vya ccm kama ndugu yako Mwigulu ambaye anataka kuleta vihoja vyake pale bungeni.Mimi na familia yangu...
  5. B

    Unyama wa polisi Tanzania- walazimisha mtu kukubali video kwa kumtishia umeme

    Dah!bongo imekua soo yaani Polisi bongo ni noma kuliko magaidi maana wanatumia dola kuwabambikizia kesi watu.Pole sana makamanda wote mnaopata shida ndio mandela wa sasa nyie,maana kumuondoa mkoloni weusi sio mchezo lazima kujitoa na wengine watatusaliti njiani kama kina fulani.peoooople...
  6. B

    CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

    Wewe ulishaonaga ccm wanampenda Dr slaa?maana huyo ndio tatizo kwa ccm sio kingine maana watanzania wote ni mali yao.Asante mccm kwakusema ukwli
  7. B

    special forces!

    I salute md25,wwe ni noma umetoa darasa lakutosha kuhusu mambo ya special force.Hivi bongo hamuijui nni?md25 ni kweli ssi bongo ni full usani kila mahali kuanzia kwenye elimu mpaka kwenye vyombo vya ulinzi ni bomu2
  8. B

    Ben Saanane: Hazina kubwa ndani ya CHADEMA na siasa za Tz

    Dah!kweli ben wewe ni noma hongera zako kwa kufichua umafia uliokuwa umepagwa na masalia na chaumma.Kuna watu wanaona kama ben ni snitch lakini katika siasa za bongo tunatakiwa tuwenakina ben kwasababu bila kuwaumbua.Sisi wabongo ni wepesi kuamini uongo unapotufikia bila kuchambua ndio maana...
  9. B

    uongo wa CCM na matumizi mabaya ya vyombo vya habari Chato

    Ni kweli kamnda ssa hvi ccm badala ya kudeal matatizo yetu wao wanadili na cdm bila kutimiza ahadi zao,mara oooh!cdm ni movement for chaga mara ni kilimanjaro.Enyi ccm timizeni ahadi zenu maan 20015 siombali
  10. B

    Barua ya wazi kwa mashabiki wa Kenyatta na Agwambo

    Dah!umeongea ukwelitu.bongo ni full ufisadi mzee
  11. B

    Udini ulianza baada ya uchanguzi wa mwaka 2005 na CCM ndiye mwaasisi wake

    Ni kweli kabisa bila kuuma meno ccm ndio waanzilishi waudini.swali la kujiuliza kama ccm aikuasisi udini nchi mbona katika uchaguzi wa 2010 tulikua tunatumiwa msg za kueleza dr.slaa ni padre lakin kipindi akiwa mbunge wengine tulikua atujui hilo,alafu sisi wananchi tukalikuchukua kama agenda za...
  12. B

    Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

    Makamanda mbona kigoma aipo kwenye list na huko kunaitajia m4c.
  13. B

    Arusha tutaendelea kuwa kielelezo cha mabadiliko ya kweli 2013 – Lema

    Heri ya mwaka mpya na wewe kamanda wetu lema pamoja sana mpaka kieleweke.Mungu akiwa upande wetu mafisadi na masalia wanafanya kazi bure juu yetu.Mungu atubariki n kutuongoza siku zote za mapambano wetu makamanda wote waukweli popote walipo.heri n fanaka kwetu makamanda
  14. B

    CHADEMA ni taasisi lakini linapokuja suala la Dr Slaa ni taasisi nyingine!

    Dah ni kweli mtupu bila dr slaa kugombea uraisi cdm ingekua kama vya vingine wwe chunguza utaona mwenyewe ndio maan ccm awapati usingizi kutwa.
  15. B

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Kura yangu kw dr.ukweli
Back
Top Bottom