Udereva wa kujihami ni muhimu maana unaweza kukuta unaepishana nae yuko macho ila akili imeshalala.
Kuna hizi gari za miaka ya karibuni zenyewe unaweka automatic tu kwenye taa inafanya kazi yenyewe ya kuongeza na kupunguza mwanga unapopishana na gari na hata ukiwa unafata gari kwa nyuma...
Mkuu usemalo inaweza kuwa kweli ila inawezekana pia ruban aliona uwezekano wa kutua salama ni mkubwa na bila shaka maana wale ni wazoefu sana kwenye viwanja vya nyumbani.
Huwa nawaza na naujuwa uwanja wa Bukoba vizuri sana inawezekana rubani alikutana na cross wind dakika za mwisho kwenye kutua...
Kwa umbali wa kazini na nyumbani unafuu wako ni pikipiki hasa ATV (pikipiki tairi nne) ina usalama kidogo.
Ila kwa gari bado utakaa foleni za ajabu uwatamani waliosinzia kwenye daladala.
Nakumbuka kulikuwa na mkutano mkubwa sana wa kimataifa hapa Dar es salaam enzi za Mh Kikwete.
Kuna maswali yalikuwa yanamshinda kujibu Mh Kikwete na mama Tibaijuka alimjibia Mh Rais na wala Kikwete hakujisikia vibaya. Ukiwa boss huwezi jibu kila kitu hasa kama ni maswali ambayo hayajaandaliwa...
Kuna vitu Duniani vinaendelea na wakubwa wa nchi wanajuwa huwezi fanya kitu kama hujakubaliwa na wadau kila kitu kina wadau wake ukifanya biashara yoyote utajuwa hilo kama wenye biashara hawajakubali huwezi fanya na hii ni kwa wafanya biashara wadogo, wakubwa na hata nchi kwa nchi. Mfano leo hii...
Kwa mwendo kasi wa haya magari ukiringanisha na ajali zunazotokea naweza sema ni ajali chache sana haya magari ukiendesha yanakufanya ujisahau hata ukiwa 120km/h bado unaona uko na mwendo mdogo kutokana na ukaaji wake barabarani na upokeaji amri za dereva.
Hata ikiwa ni gari binafsi kama hizi za...
Kama nilitegemea matokeo haya maana ile sehemu ya kuchezea uwanja wakigoma haifai halafu ni uwanja mdogo huwezi kumkimbia mpinzani wachezaji wote wanarundikana sehemu moja hakuna ufundi sana. Niliuona uwanja ule wakati wa FA final mwaka jana Simba tulishinda ila mpira haukuchezeka kabida sababu...
Naona hata Uingereza wanafanya hil mpirani wanasimamisha mpira ili wachezaji waliofunga wafungulie.
Ni kuheshimu tu dini za wengine maana dunia hii ni yetu sote. Mimi huzima redio au Tv mara adhana ianzapo tuvumiliane tu na haya mapokeo ya kila upande.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.