Dulla Tawakal
Member
- Sep 10, 2022
- 86
- 106
Habari zenu wana Jamvi, natumaini muwazima?
Baada ya safari ndefu ya kumalizia ujenzi Alhamdulilah, nimeshahamia kwangu Kisemvule. Sasa nahitajia gari ndogo aina ya Vitz Old Model. Itapendeza sana ili niweze kufika kwenye shughul zangu za kutafuta ugali Msasani [emoji22].
Nimekuwa natumia gharama kubwa kwenye nauli kutoka Kisemvule hadi Msasani ninapofanyia kazi zangu. Hivyo nimeamua nitafute usafiri binafsi ili niweze kuyaepuka mateso ya kuamka saa 10 Alfajiri.
Mwenye atakuwa na hiyo gari anitafute kwa namba zangu 0656 647 813.
Baada ya safari ndefu ya kumalizia ujenzi Alhamdulilah, nimeshahamia kwangu Kisemvule. Sasa nahitajia gari ndogo aina ya Vitz Old Model. Itapendeza sana ili niweze kufika kwenye shughul zangu za kutafuta ugali Msasani [emoji22].
Nimekuwa natumia gharama kubwa kwenye nauli kutoka Kisemvule hadi Msasani ninapofanyia kazi zangu. Hivyo nimeamua nitafute usafiri binafsi ili niweze kuyaepuka mateso ya kuamka saa 10 Alfajiri.
Mwenye atakuwa na hiyo gari anitafute kwa namba zangu 0656 647 813.