Recent content by Buru guja

  1. B

    Huduma ya Tigo Bima ikoje? Kuna mtu amewahi kunufaika nayo?

    Kwa Voda bima,sijapata Ushuhuda haya kwenye mambo mtu anapopatwa na Ajari,navyofahamu Mimi Voda wao bima yao kwa Ushirikiano wa Jubilee Insurance,Mo Assuarance na Milvik Tanzania,Kwa Mimi kwa Ushauri bima isiyo kuwa na Mkataba wa kimaandishi umeongea nao tu wakakushawishi kupitia simu sio...
  2. B

    Huduma ya Tigo Bima ikoje? Kuna mtu amewahi kunufaika nayo?

    Hapo kama Kuingia kwenye Mtumbwi wa Vibwengo, Tigo Bima,Nina ushuhuda wa mtu wangu wa karibu yeye alikuwa akilipa kilamwezi kupitia namba yake ya simu ya Tigo Pesa,Kwanza Tigo sio mtoa hiyo huduma ya Bima hivyo kuna kampuni tofauti Hila wao wanawatumia Tigo kama kuitangaza huduma ya Bima...
  3. B

    Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

    Madereva wa Mabus wanafujo Sana Barabarani wanaendesha Bus Kama Ndege za ardhini wamekuwa chanzo cha Ajari za Barabarani hasa wamekuwa wakidharau Sheria na Kuover take,Hata kwenye sehemu isiyo ruhusiwa,Kama Umesoma Sheria za Udereva Kamwe Uwezi tetea Hao Madereva wa Mabus.Kikubwa Kama Umepitia...
  4. B

    Kupeleka chakula kwa mwenzako wakati wewe una njaa ni wema au unafiki?

    Hiyo ndio moja wapo ya PROPAGANDA kwa Nchi Yetu na Sisi kwa Nchi Kuonekana kuwa Tunajari hata Tukipata Matatizo Tuonekane Kwa Ujirani Mwema,Hasa Kimataifa kwa Nchi ya TZ.
  5. B

    Hayati Magufuli alikuwa kiongozi muovu katika kundi la waovu, na alikuwa kiongozi mwema na mwenye huruma katika kundi la watu wema

    Haya ndio Maneno ya Mhe.Hayati na JPM. "Nataka niwaambie Ndugu zangu SIKU MOJA MTANIKUMBUKA na Mimi ninajua MTANIKUMBUKA kwa MAZURI si kwa MABAYA kwa sababu nimeyatoa sadaka maisha yangu kwa ajili ya Watanzania masikini. Kwa hiyo tusimame Pamoja,tusibaguane kwa vyama tusibaguane kwa ajili ya...
  6. B

    Utata juu ya Rais Samia kuingilia kati tozo mpya za miamala

    Hii Tozo Hapana kabisa. Wameyazidi hata wanacho ingiza Makampuni za Simu. Kuanzia kiasi cha 50, 000. Nakuendelea
  7. B

    SITANII; Kodi ya simu za mkononi haiepukiki

    Kodi ya simu kwa sasa haina Maana, kundi kubwa la watumiaji simu ni Vijana na Wengi wao hawaja ajiriwa na Hawana Mitaji. Utafiti mdogo tu walipo Pandisha Gharama za Bando Watu wengi walihamia kwenye Mitandao yenye Gharama nafuu, Kwani hizo Direct Tax na Indirect Tax katika Mitandao haiwatoshi...
  8. B

    Nani Mkubwa kati ya Mkuu wa Majeshi na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa?

    Kabla haujapindua Nchi, Tayari unakuwa tayari Mipango yako ishajulikana na Usalama wa Taifa na kudhibitiwa chini ya Ulinzi, Maana Usalama wapo kila Mahali
  9. B

    CAG anapaswa kujiuzulu kwa kukiuka utaratibu

    Nasikitika sana kwa nini CAG asinge kuwa muwazi kipindi cha Mwendazake. Hivi sasa analeta sintofahamu kwa Mama yetu
  10. B

    Hakuna sababu ya kuzuia kumsherekea Mwokozi wa Ulimwengu

    Bwana Yesu si ndio Wengine wanamuita Issa, Basi haina budi kumuheshimu, maana Wanajua mamlaka aliyo pewa Duniani na Mbinguni, Mwenye Masikio na asikie na Mwenye Macho aone.
  11. B

    KUMBUKIZI: Mada maalum ya kumuenzi Munga Tehnan na kazi zake

    Munga Tehnan atakapo fufuka siku zijazo hadi Duniani, Mafalisayo watafadhaika sana, Lakin bado atakumbukwa sana
  12. B

    Watu wa Morogoro kwanini mnapenda sana kujieleza?

    Boda boda wanatumia njia ya kukuongelesha anapo kubeba sana sana Muda wa Usiku muda Umeenda sana na anakuwa Makini na side mirrors zake kama mbinu moja wapo ya Kimedani kwake anapo kubeba, kukuongelesha ni njia ya Kujihami na kukuondolea Umakini wako kama kuna Jambo baya Unalotaka kumfanyia...
  13. B

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Naunga hoja kwa asilimia 100%. Ndoa za hivyo Mara nyingi zinadumu sana kulio mwanamke ambaye Hana Utepe, Ni dhambi kubwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu, Kwa Mwanaume kumtoa mwanamke bikra Mwanamke Usie kuwa wa Uhitaji wa Kumuoa.
  14. B

    GE2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

    Sawa kwa hizo points ulizo toa kwenye reli na Nishati na madini, Je kwa hawa watu ambao hawajapitiwa na hiyo reli ya mwendo kasi itawasaidia vipi katika kujikwamua kwa Uchumi, Ikiwa nchi yetu imeingia kwenye Uchumi wa kati ila kiharisi wananchi hawaishi kwa Uchumi huo, Na kwenye nishati na...
Back
Top Bottom