SITANII; Kodi ya simu za mkononi haiepukiki

SITANII; Kodi ya simu za mkononi haiepukiki

Kodi ya simu kwa sasa haina Maana, kundi kubwa la watumiaji simu ni Vijana na Wengi wao hawaja ajiriwa na Hawana Mitaji. Utafiti mdogo tu walipo Pandisha Gharama za Bando Watu wengi walihamia kwenye Mitandao yenye Gharama nafuu, Kwani hizo Direct Tax na Indirect Tax katika Mitandao haiwatoshi Tu Serikali.

Mfano Mzuri Mawakala wa Mitandao ya M-Pesa, Tigo Pesa, Halo Pesa, T Pesa, Z Pesa na Mitandao Mingine ya Kipesa ya Simu Hizo asilimia 10% za Commision haziwatoshi Tu za Kila Wakala Tanzania nzima?? Na wananchi wanachangia kupitia huduma za kuweka Pesa na Kutuoa.

Bado na huduma Nyingine kibao za, Business 2 Business (B 2 B) Kupitia huduma za Simu na Bank na Serikali Inakusanya Tax Kibao na Kupunguza Foleni kwenye Mabank yote Tanzania kwa Mifumo ya E-Eletronic. Ni muhimu Serikali iwalinde wananchi sio kila mara Kuwakandamiza Wananchi, Kuna Bandari, Madini, Utarii na Mambo Mengine Kibao
 
Tutahamia SAFARI COM, yaani tulipe kodi yote hiyo halafu SUPIKA JOBO akaitumie kwenye KUHONGA wapinzani? Never ever.
 
Hakuna Maendeleo bila Kodi. Kimsingi nchi zetu sisi Afrika kiwango cha walipa kodi ni kidogo sana.

Mfano hapa kwetu Tanzania, kati ya watanzania takribani Milioni 60, walipa kodi ni takribani Mil 5 tu sawa na Asilimia 8. Tazama takwimu hizi za nchi za wenzetu, Sweden 57.19% Japan 55.95%, Austria 55%, Netherlands 51.75%, Belgium 50%, Ireland 48%, Australia 45%, China 45%, USA 43%...
Unataka kusema bodaboda hawalipi kodi?
 
Ingependeza na Tanzania wakawa wanawapa raia wake wasiokuwa na kazi pesa za kujikimu kila mwezi kama wanavyofanya kwenye nchi tajwa. Hizo kodi za simu zingekuwa na manufaa. Alijisemea lofa moja kwamba nchi hii kuna wahuni na viongozi malaya malaya.
 
Back
Top Bottom