Recent content by burtons

  1. burtons

    JamiiForums Tanzania GE2025 IGP Wambura: Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu au kikundi cha watu, watakaojaribu kuvuruga amani ya watu kwa namna yoyote ile

    Mvunjifu wa amani namba Moja ndani ya hii nchi ni jeshi LA polisi ambao kiuhalisia wanatumika kuwaonea sana wapinzani na wakosoaji wa serikali Jeshi lenu hilo la polisi limekaa kuwaonea na kuwaua wananchi wasio na hatia na kujiita wasio julikana mpaka hivi Leo watu wameuawa na kupotezwa...
  2. burtons

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kupika chakula geto na kununua mgahawani kipi kinatumia hela nyingi?

    Bora kupika mwenyewe aisee ni Bora sana kwa Afya yako pia unasave budget vizuri maana unapika hiko chakula then unakula mara mbili
  3. burtons

    JamiiForums Tanzania Magereza wakana kumsukuma Lissu mahakamani

    Kupitia LISU jamii imepata mengi yanayoendelea kwenye magereza yetu . Uonevu ukiwa mfungwa au mahabusu ASKARI magereza wanakuchukulia kama mnyama hivyo kwa kilichotokea kwa Lissu ni hali halisi wanachofanyiwa wengine ambao hawana sauti
  4. burtons

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania (BoT): Uchumi wa Tanzania unatarajiwa kuendelea kukua kwa kasi ya 6.1% na 6.5% mtawalia

    Uchumi unakua then tunaambiwa sarafu yetu imeanguka sana Tena sana kwenye soko la dola so uchumi unakuaje hapo? Wakati manunuzi tunafanya kwa dola then mnatumbia mfumuko WA Bei unabaki pale pale hivi inaingia akili kweli dollar imepanda zidi ya sarafu yetu na manunuzi ya nje tunafanya kwa dollar...
  5. burtons

    JamiiForums Tanzania Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

    Aisee wakikamatwa tuh jela maisha maana huo NI mtungo na hukumu Yake NI maisha
  6. burtons

    JamiiForums Tanzania Uhalisia wa taifa la Israeli

    Safi Sana lazima haki itendekee
  7. burtons

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Kama Serikali inatuma vikosi kupigana Congo, inashindwa kuja kupigana Kariakoo?

    Yaan chalamila hadiserve kabisa kuendelea kua mkuu wa mkoa DSM maana kauli zake zina chonganisha wananchi na Selikari
  8. burtons

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho

    Waache wagome maana selikari haitekelezi ahadi zake
  9. burtons

    JamiiForums Tanzania Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Aisee nime experience hiki kitu ilinibidi niingie kwenye bajaji ambayo naendesha mpaka sasa but maisha yanaenda Kwa status niliyokua nayo before dah but nilijifunza kitu muhimu sana maishani mwangu
  10. burtons

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuomba dunia ipasuke..

    [emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4]
  11. burtons

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji girl wa kuzaa nae

    Tumeshakusanya
  12. burtons

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji girl wa kuzaa nae

    haaa haa bange zipo Tena kutoka Malawi
  13. burtons

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji girl wa kuzaa nae

    Habari za wana Hope mpo poa kabisaa
  14. burtons

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya nitaweza kusoma PGM kama private candidate?

    Mkuu unaweza kusoma kabisa ondoa shaka pia nikutakie kila la heriii
  15. burtons

    JamiiForums Tanzania Fundi mashine ya kufulia

    Habari za asubuhii Nahitaji fundi wa mashine ya kufulia nguo anipe maelezo ya kitaalamu kuhusu mashine aina ya Nikura kwani nahitaji kununua ili nifungue dry cleaner hapa mbeya +255756417990.
Back
Top Bottom