killer whale
Member
- Nov 9, 2017
- 60
- 19
Habari za muda huu waungwana!..
Nimemalza kidat cha 4 mwaka 2010 na kupata ufaulu huu
div 3 pt22
Phy=>C
Bios=>C
Chem=>C
Math=>D
Geog=>D.. nk. kiufupi hakuna somo nlilopata F
Nilichaguliwa Tambaza ktk tahasusi ya PCB lakini nilipofika kidato cha 6 nilipata matatizo ya macho na kichwa na kushindwa kufanya mtihani, niliacha shule bila kutoa taarifa shuleni na nlikaa huku nkifanya shughul zang bnafs Tangu mwak 2013 na sasa nataka kufanya mtihan mwak 2019 km private candidate, sasa hivi nina miaka 28.
Nataman kusoma PGM coz tangu O level nilikuwa na uwezo katika math na geog ila sikuweka sana mkazo huko kwakuwa nilitaka kusoma PCB ila kwa sasa nataka kuepuka manotes mengi ya chem na bioz na practical zake, ndio maana nime-aim kusoma PGM, kama itawezekana kusoma PGM kwa matokeo hayo ya O level, ni hatua gani nipitie ili niwe mtahiniwa halali wa kujitegemea hapo mwaka 2019??
Nimemalza kidat cha 4 mwaka 2010 na kupata ufaulu huu
div 3 pt22
Phy=>C
Bios=>C
Chem=>C
Math=>D
Geog=>D.. nk. kiufupi hakuna somo nlilopata F
Nilichaguliwa Tambaza ktk tahasusi ya PCB lakini nilipofika kidato cha 6 nilipata matatizo ya macho na kichwa na kushindwa kufanya mtihani, niliacha shule bila kutoa taarifa shuleni na nlikaa huku nkifanya shughul zang bnafs Tangu mwak 2013 na sasa nataka kufanya mtihan mwak 2019 km private candidate, sasa hivi nina miaka 28.
Nataman kusoma PGM coz tangu O level nilikuwa na uwezo katika math na geog ila sikuweka sana mkazo huko kwakuwa nilitaka kusoma PCB ila kwa sasa nataka kuepuka manotes mengi ya chem na bioz na practical zake, ndio maana nime-aim kusoma PGM, kama itawezekana kusoma PGM kwa matokeo hayo ya O level, ni hatua gani nipitie ili niwe mtahiniwa halali wa kujitegemea hapo mwaka 2019??