Sidhani kama uliuelewa ujumbe wangu vizuri.
Ila nashukuru kwa ushauri, japo sitaufanyia kazi.
Mwenyewe naumizwa na mambo yanavyoendelea.
Ndiyo maana imefikia hatua, naona wote ambao wanaonekana kuwa upande wa wananchi, ni kama wanakuja tu kupunguza 'hasira' za wananchi, lakini ukitafakari kwa...
Wanataka amani.
Hawataki HAKI!
Tanzania tunashangaza.
Shida ya kuongozwa na kilaza, wote mtalazimika kuwa vilaza ili muendane na Bosi wenu. Hii ni kanuni ya asili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.