Recent content by Burkinabe

  1. B

    Dkt. Slaa: Nimemlaani Odero Odero. Ndiye msaliti wa CHADEMA anayetumiwa kujihusisha na kinachoitwa "maridhiano!"

    Wajaluo wengi ni wasaliti kwa asili siyo Tanzania tu hata Kenya
  2. B

    Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    Halafu msg yenyewe imekaa kibabe sana
  3. B

    Pendekezo: Siku Samia Suluhu akifa, tufute Majina yake kwenye Miradi yote ya Serikali

    Naunga mkono hoja. Jina kuendelea kuwepo kwenye miradi, ni kuendelea kutonesha vidonda vya Taifa hili kwa yaliyotokea 29/10/2025.
  4. B

    VIDEO: Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC - Ufufuo na Uzima kuzungumza na Watanzania ktk Mkesha wa mwaka mpya

    Sidhani kama uliuelewa ujumbe wangu vizuri. Ila nashukuru kwa ushauri, japo sitaufanyia kazi. Mwenyewe naumizwa na mambo yanavyoendelea. Ndiyo maana imefikia hatua, naona wote ambao wanaonekana kuwa upande wa wananchi, ni kama wanakuja tu kupunguza 'hasira' za wananchi, lakini ukitafakari kwa...
  5. B

    Rais Samia kulihutubia taifa leo saa 3 usiku kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha 2026

    Kuhutubia au Kuchamba! Maana siku hizi ni ngumu kutofautisha hivyo vitu.
  6. B

    VIDEO: Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC - Ufufuo na Uzima kuzungumza na Watanzania ktk Mkesha wa mwaka mpya

    Hawa nao wanatupa matumaini hewa tu, tumechoka. Bora tu watuache. Mungu mwenyewe atuamulie maana yeye pekee ndiye mwenye HAKI.
  7. B

    Mwigulu: Tusijifiche kwenye kichaka cha HAKI bila WAJIBU

    Kama Raia tukiamua kuwajibika, haki inasema hii serikali haina uhalali wa kuwepo na yeye pia ni batili
  8. B

    PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Siku hizi mnalichukulia poa sana kanisa
  9. B

    PostGE2025 Simbachawene: Rais Samia ameagiza mabadiliko Polisi ili kurejesha mahusiano mazuri na wananchi

    Wanataka amani. Hawataki HAKI! Tanzania tunashangaza. Shida ya kuongozwa na kilaza, wote mtalazimika kuwa vilaza ili muendane na Bosi wenu. Hii ni kanuni ya asili.
  10. B

    Aliyemshitaki Padri Kitima kwenye ubalozi wa Vaticani anasaligi Parokia gani?

    Sema tu Roma siku hizi wamekuwa wapole sana, angekoma huyu fala
  11. B

    Ukishindana na ukweli na haki automatically unaishiwa pawa. Lazima ujidhalilishe na kupoteza heshima yako

    Sisi huku kwetu Amani imeishinda HAKI. Ngoja tuendelee kunywa mchuzi, nyama ziko chini
Back
Top Bottom