Recent content by Burkinabe

  1. B

    JamiiForums Tanzania A falling lizard thinks it’s flying until the ground reminds it

    Amna kitu hapo
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Mijadala JamiiForums: Zana Mpya za Akili Unde (AI) zinakuja Wikendi hii!

    Hongereni sana kwa ubunifu huu.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa: Nimemlaani Odero Odero. Ndiye msaliti wa CHADEMA anayetumiwa kujihusisha na kinachoitwa "maridhiano!"

    Wajaluo wengi ni wasaliti kwa asili siyo Tanzania tu hata Kenya
  4. B

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    Halafu msg yenyewe imekaa kibabe sana
  5. B

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Siku Samia Suluhu akifa, tufute Majina yake kwenye Miradi yote ya Serikali

    Naunga mkono hoja. Jina kuendelea kuwepo kwenye miradi, ni kuendelea kutonesha vidonda vya Taifa hili kwa yaliyotokea 29/10/2025.
  6. B

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC - Ufufuo na Uzima kuzungumza na Watanzania ktk Mkesha wa mwaka mpya

    Sidhani kama uliuelewa ujumbe wangu vizuri. Ila nashukuru kwa ushauri, japo sitaufanyia kazi. Mwenyewe naumizwa na mambo yanavyoendelea. Ndiyo maana imefikia hatua, naona wote ambao wanaonekana kuwa upande wa wananchi, ni kama wanakuja tu kupunguza 'hasira' za wananchi, lakini ukitafakari kwa...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kulihutubia taifa leo saa 3 usiku kuuaga mwaka 2025 na kuukaribisha 2026

    Kuhutubia au Kuchamba! Maana siku hizi ni ngumu kutofautisha hivyo vitu.
  8. B

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la GCTC - Ufufuo na Uzima kuzungumza na Watanzania ktk Mkesha wa mwaka mpya

    Hawa nao wanatupa matumaini hewa tu, tumechoka. Bora tu watuache. Mungu mwenyewe atuamulie maana yeye pekee ndiye mwenye HAKI.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Tusijifiche kwenye kichaka cha HAKI bila WAJIBU

    Kama Raia tukiamua kuwajibika, haki inasema hii serikali haina uhalali wa kuwepo na yeye pia ni batili
  10. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Siku hizi mnalichukulia poa sana kanisa
Back
Top Bottom