Recent content by Burkinabe

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Hatari hii hata kama sijaelewa code yoyote Mungu aepushie mbali
  2. B

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Waovu wanastawi, Wema wananyauka.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Tz ni ya kipekee sana. Ubaya unashinda wema kadri siku zinavyoendelea. Nachoka mimi.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    lolote litokee tu kama ni kwa maslahi ya Taifa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Museven na Abaganda

    Africa ina kina Mseven wengi. Ila huyu aliyeongelewa hapa ni wa Uganda bila shaka maana Abaganda ni moja ya kabila huko Ug.
  6. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Rukwa na Katavi, sikusikia
  7. B

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Haya mambo ni ya kitaalam sana
  8. B

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    sijui kwa nini ila ninafikiria kizazi cha "baby boomers" ndo kimetufikisha hapa tulipo, na bahati mbaya sana bado kina nguvu kubwa na hivyo kuwa na 'influence" kwenye maamuzi mengi yakiwamo hayo yaliyogusiwa na mtoa mada 'MAAMUZI YA NDANI'.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    chimpanzee, hahahaha
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    Heche anaongea vitu practical kabisa, kama si kwenye Urais, basi akiwa Waziri Mkuu na akapata ushirikiano toka kwa Rais wake, hii nchi itakwenda kwa mwendo wa kukimbia kimaendeleo. Sera zake zinanikosha sana. Hakuna nchi inayoweza kuendelea kwa kutegemea mikopo na misaada tu toka nje, lazima...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    John Heche namkubali sana..
  12. B

    JamiiForums Tanzania Unabii wa mwezi wa 8

    Sawa
Back
Top Bottom