Recent content by Burkinabe

  1. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Rukwa na Katavi, sikusikia
  2. B

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Haya mambo ni ya kitaalam sana
  3. B

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    sijui kwa nini ila ninafikiria kizazi cha "baby boomers" ndo kimetufikisha hapa tulipo, na bahati mbaya sana bado kina nguvu kubwa na hivyo kuwa na 'influence" kwenye maamuzi mengi yakiwamo hayo yaliyogusiwa na mtoa mada 'MAAMUZI YA NDANI'.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    chimpanzee, hahahaha
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    Heche anaongea vitu practical kabisa, kama si kwenye Urais, basi akiwa Waziri Mkuu na akapata ushirikiano toka kwa Rais wake, hii nchi itakwenda kwa mwendo wa kukimbia kimaendeleo. Sera zake zinanikosha sana. Hakuna nchi inayoweza kuendelea kwa kutegemea mikopo na misaada tu toka nje, lazima...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    John Heche namkubali sana..
  7. B

    JamiiForums Tanzania Unabii wa mwezi wa 8

    Sawa
  8. B

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    1. Kusema yeye si kiongozi wa wanyonge, ni kiongozi wa matajiri tu 2. Kumsema vibaya mtangulizi wake 3. Kuuza bandari kwa wajomba zake 4. Kuua Watanganyika wasio na hatia, wengine wakiwa nyumbani kwao na wengine wakiwa kwenye biashara zao 5. Kuwakejeli wananchi wake na vijembe vy a mara kwa mara...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Misheni iliwekwa sawa mipango ikaparanganyika sasa tunakwenda nayo kwa namna yeyote

    Nchi inaongozwa kijeshi. Kila sehemu polisi wamejaa
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mbio za CHADEMA 334 (CHADEMA Marathon 334)Shiriki sasa! Hujachelewa

    Tayari nimeshachangia.. Ngoja tuendelee kuwachangia viongozi wanaofanana na sisi, maana wale wengine viwango vyao ni vya juu sana na walishakataa siyo viongozi wa wanyonge! CHADEMA pekee ndo imebaki sauti ya wanyonge
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kitakachokwenda kutokea mwaka 2026 Huu ni Ufunuo kwa Ulimwengu

    Mkuu nilikuwa siamini tabiri zako nyingi, lakini kwa huu utabiri, umedhihirisha kabisa wewe ni Mjumbe wa Mungu na kama Taifa tulipaswa kufanyia kazi Ujumbe wako ili kuepusha madhila uliyoyaona siku nyingi kabla.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Selasini: Watanzania waseme watakavyo, lakini namsihi Rais Samia asimwachie Lissu kwa shinikizo la nje

    Sana, nawahurumia sana CHADEMA. Hii ni saratani, wameikaribisha, itawatafuna hadi wakubali kuikata na kuitupa mbali kabisa
  13. B

    JamiiForums Tanzania Selasini aishauri CHADEMA kuhusu maridhiano, asema CHADEMA lazima imshirikishe Rais Samia

    Hii dog inatumika vibaga
  14. B

    JamiiForums Tanzania Baada ya Miezi Miwili kurejea CHADEMA, Selasini ataka Heche achunguzwe

    Hii mbwa inatumika vibaya sana na mfumo, ngoja tuone mwisho wake utakuwaje
Back
Top Bottom