sijui kwa nini ila ninafikiria kizazi cha "baby boomers" ndo kimetufikisha hapa tulipo, na bahati mbaya sana bado kina nguvu kubwa na hivyo kuwa na 'influence" kwenye maamuzi mengi yakiwamo hayo yaliyogusiwa na mtoa mada 'MAAMUZI YA NDANI'.
Heche anaongea vitu practical kabisa, kama si kwenye Urais, basi akiwa Waziri Mkuu na akapata ushirikiano toka kwa Rais wake, hii nchi itakwenda kwa mwendo wa kukimbia kimaendeleo. Sera zake zinanikosha sana.
Hakuna nchi inayoweza kuendelea kwa kutegemea mikopo na misaada tu toka nje, lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.