sijui kwa nini ila ninafikiria kizazi cha "baby boomers" ndo kimetufikisha hapa tulipo, na bahati mbaya sana bado kina nguvu kubwa na hivyo kuwa na 'influence" kwenye maamuzi mengi yakiwamo hayo yaliyogusiwa na mtoa mada 'MAAMUZI YA NDANI'.
Heche anaongea vitu practical kabisa, kama si kwenye Urais, basi akiwa Waziri Mkuu na akapata ushirikiano toka kwa Rais wake, hii nchi itakwenda kwa mwendo wa kukimbia kimaendeleo. Sera zake zinanikosha sana.
Hakuna nchi inayoweza kuendelea kwa kutegemea mikopo na misaada tu toka nje, lazima...
1. Kusema yeye si kiongozi wa wanyonge, ni kiongozi wa matajiri tu
2. Kumsema vibaya mtangulizi wake
3. Kuuza bandari kwa wajomba zake
4. Kuua Watanganyika wasio na hatia, wengine wakiwa nyumbani kwao na wengine wakiwa kwenye biashara zao
5. Kuwakejeli wananchi wake na vijembe vy a mara kwa mara...
Tayari nimeshachangia..
Ngoja tuendelee kuwachangia viongozi wanaofanana na sisi, maana wale wengine viwango vyao ni vya juu sana na walishakataa siyo viongozi wa wanyonge!
CHADEMA pekee ndo imebaki sauti ya wanyonge
Mkuu nilikuwa siamini tabiri zako nyingi, lakini kwa huu utabiri, umedhihirisha kabisa wewe ni Mjumbe wa Mungu na kama Taifa tulipaswa kufanyia kazi Ujumbe wako ili kuepusha madhila uliyoyaona siku nyingi kabla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.