UNANIKUMBUSHA MTKILA NA DP ya saa ya ukombozi ni sasa na magabachori, na Farao (Nyerere) na Yuda Eskarioti (Mrema lyatonga) mh ! cjui huyu mzee kafia wapi kisiasa?
nimekaa kimya toka thread hii ianze sioni jibu, Jamani haihitaji akili ya mhitimu wa PHD kuweka wazi simple ANS from simple QUEST.
kama sisi ni wapambanaji kweli , ni kweli tuna opposition katika kuliweka wazi suala hili? Bado nangojea maana, pamoja mimi sio mwanachama wala mshabiki wa CCM wala...
i thought nilipojiunga membership JF nakutana na watu wanaoelewa, kama huelewi simple tashtiti kama hiyo hapo juu kipi utaelewa ? but i know Mnaelewa lakini hamtaki kukubali, KIKWETE ameweza kukusanya mapato kuliko rais yeyote aliyetangulia Tanzania! pamoja na maneno mbofu mbofu kutoka kwa...
Jamani eeh Mnyonge Mnyongeni haki yake mumpe, jamaa yupo juu katika kukusanya mapato , kwa kifupi anatisha!
Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.