Siku hizi kuchanganya siasa na dini Rukhsa?

Maaskofu wa Rwanda walisababisha vita kwa sababu walikumbatia utawala wa kidhalim, watanzania wanakemea udhalim, na sio kila vita ni mbaya as long as inangoa utawala dhalimu!
 
Maaskofu wa Rwanda walisababisha vita kwa sababu walikumbatia utawala wa kidhalim, watanzania wanakemea udhalim, na sio kila vita ni mbaya as long as inangoa utawala dhalimu!

maaskofu wa Tanzania kama walivyokuwa wa Rwanda hawana utawala mzuri au mbaya , kwao utawala ni ule utakaotekeleza matakwa yao!, hata kama udhalimu ukifanyika kama ule wa kuua watu 27 pemba, wao hawakutoa tamko la kulaani bali kuitetea serikali ya MKAPA, Waliamrisha jeshi kupitia tamko kuuawa kwa waislamu mwembe chai, Ndio mana leo tunawaona ni wanafiki tu wanaolinda maslahi yao ambayo kwa sasa wanadhani yapo zaidi CDM kuliko CCM ya leo, na kwa taarifa utawala ujao wakisha muweka kwapani Raisi ajaye hutasikia la tamko wala waraka na kuchanganya dini na siasa itakuwa marufuku tena!
 
maaskofu wa Tanzania kama walivyokuwa wa Rwanda hawana utawala mzuri au mbaya , kwao utawala ni ule utakaotekeleza matakwa yao!, hata kama udhalimu ukifanyika kama ule wa kuua watu 27 pemba, wao hawakutoa tamko la kulaani bali kuitetea serikali ya MKAPA, Waliamrisha jeshi kupitia tamko kuuawa kwa waislamu mwembe chai, Ndio mana leo tunawaona ni wanafiki tu wanaolinda maslahi yao ambayo kwa sasa wanadhani yapo zaidi CDM kuliko CCM ya leo, na kwa taarifa utawala ujao wakisha muweka kwapani Raisi ajaye hutasikia la tamko wala waraka na kuchanganya dini na siasa itakuwa marufuku tena!

Kuna Pengo kajitokeza tena na kusema hakutegemea polisi kuua raia 3 mwaka huu lakini alitegemea polisi kuua raia 27 kule pemba awamu ya 3 ya utawala wa mkapa
 
kaeni na huo udini,na kulialia someni na tafuteni hela.nd nendeni vyou vikuu.kikwete,mkapa,mwinyi wamesomesha watoto wao!mbingu tutaenda binafsi na kufanikiwa ni juhudi zako!UDINi,UDINI hameni dini basi ...
 
ok naona wachangiaji wote hapo juu wanakiri kuwa ni haki kwa viongozi wa dini kutoa maoni yao, na pengine mimi sibishani na hili sana , issue hapa kwa nini wakati huu, kama ni matukio ya kifisadi yalifanyika sana kipindi cha awamu iliyopita, ni kwa nini hawa viongozi wamekurupuka kipindi hiki cha JK, walikuwa wapi wakati madudu makubwa ya maangamizi ya taifa yanafanyika, ni kwa nini leo? kuna nini? ikumbukwe kuwa ni hawa hawa walituambia tumchague JK ni chaguo la Mungu, sasa ni nchaguo la nani? ni ufisadi tuu?
unashauri waendelee kukaa kimya mpaka 2015?
 
Nilizoea kusikia kauli za msichanganye dini na siasa kwa kasi kipindi chote kabla ya mwaka 2005, viongozi wa serikali , dini walisimama imara kuwakemea mashehe wakiwatuhumu moja kwa moja kuacha kujadili siasa misikitini. Kipindi hicho ufisadi uliokuwa ukifanywa na viongozi wa kisiasa haukuwa miongoni mwa mada za kujadiliwa, na watu waliojaribu kujadili walikemewa kutochanganya siasa na dini.
Nakumbuka mambo kadhaa ya kifisadi yalitendeka ambayo yamekuja kuwekwa bayana kipindi cha awamu ya 4 ya JK yakiwemo:
  • Ununuzi tata wa Rada (watanzania acheni uvivu wa kufikiri)
  • Ununuzi tata wa ndege ya rais(hata mkila majani ndege ya rais itanunuliwa)
  • Meremeta
  • Mikataba mibovu ya madini ,ambayo ilifanywa kuwa siri awamu iliyopita,
  • Kuuzwa kwa bei ya kutupa NBC, na ubinafsishaji tata wa Shirika la Reli
  • Mkapa kujimilikisha mradi wa kiwira.
  • Kuuza Nyumba za serikali kwa bei ya kutupa
  • EPA saga
  • Ujambazi uliokithiri (umehusishwa na viongozi wa jeshi na watawala ref. hotuba ya Mkapa ‘Hakuna nchi isiyokuwa na majambazi, Marekani, Uingereza …..
  • N.k,…N,k
Katika mlolongo wa matukio ya kifisadi hapo juu, sikuwahi kusikia kauli za viongozi wa juu wa Makanisa kukemea au kuonya serikali juu ya kuwepo kwa ufisadi huo,aidha masuala ya Katiba Mpya yaliongelewa sana na Watu wa haki za binadamu na hayakupewa uzito wowote na wanasiasa na viongozi wa Makanisa, Miaka michache baada ya utawala wa JK ulitoka waraka kutoka kanisa Katoliki ulioitwa wa elimu ya kupiga kura lakini kwa kiasi kikubwa ukiongelea suala la ufisadi. Leo kuna vuguvugu kubwa la kutaka katiba mpya lililoibuliwa na , Viongozi wa kanisa wamekuja juu kushabikia suala hili la kisiasa, Kanisani na nje ya Kanisa . Imefikia wakati Kiongozi wa Kikristo -CCT anataka katiba Mpya ipatikane haraka iwezekanavyo, lakini baada ya utafiti wa kina kufanyika(Mwananchi tarehe 17/12/2010). What a controversial statement? ,eti iwe haraka, lakini baada ya utafiti wa kina, utafiti wa kina wa harakaharaka?.
Hivi karibuni nimesoma tena Mwanachi, Maaskofu sasa wambana JK , ndani yake kuna masuala ya kisiasa ambayo bila shaka yaliyojadiliwa kanisani au viunga vyake.

Wapo wapi viongozi waliokuwa wanawakemea Mashehe wasijadili Siasa ?

Wapo wapi wazee wa Msichanganye dini na Siasa?

Kwa mtizamo wako kama maaskofu walikosea kutokemea ufisadi wa Mkapa, hiyo ni leseni ya Kikwete kuifisadi nchi??? Wako wapi sasa wale mashujaa wetu masheikh walioanza zamani za Mkapa kukemea ufisadi hadi wakashambuliwa?? Je huu wa sasa hawauoni? Au huu sasa ni halali?
 
maaskofu wa Tanzania kama walivyokuwa wa Rwanda hawana utawala mzuri au mbaya , kwao utawala ni ule utakaotekeleza matakwa yao!, hata kama udhalimu ukifanyika kama ule wa kuua watu 27 pemba, wao hawakutoa tamko la kulaani bali kuitetea serikali ya MKAPA, Waliamrisha jeshi kupitia tamko kuuawa kwa waislamu mwembe chai, Ndio mana leo tunawaona ni wanafiki tu wanaolinda maslahi yao ambayo kwa sasa wanadhani yapo zaidi CDM kuliko CCM ya leo, na kwa taarifa utawala ujao wakisha muweka kwapani Raisi ajaye hutasikia la tamko wala waraka na kuchanganya dini na siasa itakuwa marufuku tena!

Hivi mauaji ya Mwembe chai si alikuwa Rais Mwinyi?? Mbona mnasema ni Mkapa. Mwinyi ndiye baadaye alitoa ruksa hata anayetaka kura chura ale.
 
maaskofu wa Tanzania kama walivyokuwa wa Rwanda hawana utawala mzuri au mbaya , kwao utawala ni ule utakaotekeleza matakwa yao!, hata kama udhalimu ukifanyika kama ule wa kuua watu 27 pemba, wao hawakutoa tamko la kulaani bali kuitetea serikali ya MKAPA, Waliamrisha jeshi kupitia tamko kuuawa kwa waislamu mwembe chai, Ndio mana leo tunawaona ni wanafiki tu wanaolinda maslahi yao ambayo kwa sasa wanadhani yapo zaidi CDM kuliko CCM ya leo, na kwa taarifa utawala ujao wakisha muweka kwapani Raisi ajaye hutasikia la tamko wala waraka na kuchanganya dini na siasa itakuwa marufuku tena!

Tatizo lako ni kuwa una akili finyu sana na fikra kurupushi. Mawazo yako ni mgando kwa kutaka kuweka udini hata kwenye mambo ya msingi.

Suala la katiba mpya ni la WaTZ wote bila kujali dini zao. Hakuna katiba ya mkristo, mwislam wala ya mhindu. Katiba ni kwa ajili ya wote.

Viongozi wa dini kazi yao ni kuiongoza jamii ktk njia ipasayo. So kama maaskofu wameshauri kuhusu katiba mpya, kinawauma nini waislamu?? Kwani nani kazuia mashehe nao kutoa mawazo yao. Acha ubaguzi wa kijinga, amka!!
 
Kuna Pengo kajitokeza tena na kusema hakutegemea polisi kuua raia 3 mwaka huu lakini alitegemea polisi kuua raia 27 kule pemba awamu ya 3 ya utawala wa mkapa

Acha kumlisha ASKOFU PENGO maneno. Ni kweli alisema hakutegemea polisi kuua ARUSHA, but hakusema eti alitegemea polisi kuua 27 kule Pemba.

Huo ni unafiki wa kuongeza chumvi (exageration) ili utimize matakwa yako ya udini yaliyoujaza ubongo wako.

Ni aibu kijana kama wewe kuwa na fikra za kibaguzi kiasi hata kufikia kumlisha askofu maneno ilihali ukijua si kweli.

Ni aibu kijana kama wewe kuwa na mawazo ya kizee, mawazo makuukuu, yaliyochakaa, mawazo ya kibaguzi. Shame upon you!!
 
kaeni na huo udini,na kulialia someni na tafuteni hela.nd nendeni vyou vikuu.kikwete,mkapa,mwinyi wamesomesha watoto wao!mbingu tutaenda binafsi na kufanikiwa ni juhudi zako!UDINi,UDINI hameni dini basi ...


Safi sana mkuu. Waeleze wakuelewe hawa ndugu zetu wenye utapiamlo wa fikra. Kazi kulalamika tu, siku zote wakati wenzao wanapiga hatua mbele.

Udini umewajaa, hadi machoni. Hawajioni walivyo duni kielimu na kimaisha kwa ujumla?? Wakati wenzao wanasoma na kutafuta hela, wao walikuwa wanalialia na dini yao. Aibu!!
Uchane upuuzi nendeni shule. Fanyeni kazi kwa bidii kuliko kupiga domo lisilo na tija.
 
Safi sana mkuu. Waeleze wakuelewe hawa ndugu zetu wenye utapiamlo wa fikra. Kazi kulalamika tu, siku zote wakati wenzao wanapiga hatua mbele.

Udini umewajaa, hadi machoni. Hawajioni walivyo duni kielimu na kimaisha kwa ujumla?? Wakati wenzao wanasoma na kutafuta hela, wao walikuwa wanalialia na dini yao. Aibu!!
Uchane upuuzi nendeni shule. Fanyeni kazi kwa bidii kuliko kupiga domo lisilo na tija.

Shule watu wanaenda.... lakini ajira mnapeana kidini!!!!!...... kufanya kazi watu wanafanya lakini watu wengine wanakula jasho lako kifisadi kwa miaka 50 sasa faida yake nini?!!!! Issue hapa watu wanawaambia maaskofu wawe wakweli kuwahurumia waTanzania wote bila ya upendeleo, kama waislamu walipouliwa MwembeChai kama maskofu wengekemea wakati wa Mkapa leo waTanzania wote wengelikuwa na imani nao, lakini wamekwisha poteza imani hiyo mbele ya waislamu kwa kuminya kukemea MwembeChai na Pemba. They have NO CREDIBILITY. They lost it, big time.
 
Aliyekataza kumsema Mkapa ni fisadi mwenzie kikwete. Namnukuu akisema, "waacheni wazee wastaafu kwa amani". Kan kwamba hiyo haitoshi, Wikileaks imetuonyesha wazi kuwa Kikwete amempa amri Hosea wa PCCB kutokufatilia ufisadi wa akina Mkapa na Sumaye. Sasa udini hapa uko wapi ikiwa Kikwete ndio anakataa scrutiny siwepo kwa hawa mafisadi wenzie? Narudia tena na tena. Risasi iliyomuua muislamu marehemu Ismail kule Arusha, iliamriwa kupigwa na muislamu mwenzie Said Mwema (IGP) na akapata support ya kifedhuli toka kwa waislamu wengine kama Makamba na Tambwe Hiza. Udini upo wapi hapo? Mbona Meya anayetakiwa kujiuzulu Arusha ni mkristo tena mkatoliki kama mnavyosema CHADEMA ni ya wakatoliki? Mbona alisemwa Lowasa ambae ni mkristo mpaka alijiuzulu uwaziri mkuu? Udini upo wapi ikiwa watanzania wa dini zote wanakabiliana na mfumuko wa bei kwenye kila sekta ya uchumi wakati hata uyo fisadi Mkapa alirekebisha hili la mfumuko alipokuwa madarakani? Tatizo la wafuasi wa CCM kama Aikaotana mnaakili "brand new". Namaanisha hamzitumii kabisa katika kutoa misimamo yenu ndio maana bvado mpya. Hebu anzeni kuzitumia jamani maana mnatia aibu.
 
Acha kumlisha ASKOFU PENGO maneno. Ni kweli alisema hakutegemea polisi kuua ARUSHA, but hakusema eti alitegemea polisi kuua 27 kule Pemba.

Huo ni unafiki wa kuongeza chumvi (exageration) ili utimize matakwa yako ya udini yaliyoujaza ubongo wako.

Ni aibu kijana kama wewe kuwa na fikra za kibaguzi kiasi hata kufikia kumlisha askofu maneno ilihali ukijua si kweli.

Ni aibu kijana kama wewe kuwa na mawazo ya kizee, mawazo makuukuu, yaliyochakaa, mawazo ya kibaguzi. Shame upon you!!

Simlishi maneno hakutoa kauli wakati walipokufa watu 27 pemba, ametoa kauli wakati wamekufa 3 arusha, Pengo ni yule yule kwa nin i asiseme wakati ule? Hayo maneno amejilisha mwenyewe. NINA FIKRA PEVU, ZA KIBAGUZI ANAZO PENGO NA WW AMBAYE KWENU WATU WA PEMBA SI WATU ILA WA ARUSHA NDIO WATU.. acheni ubaguzi
 
Wanajamvi nijuzeni, nini mantiki yake?
Ni wakati gani siasa inaihitaji dini?
Ni wakati gani dini inaihitaji siasa?
Je, ni kweli kwamba ni wakati tu mambo yanapoiendea mramba siasa, ndipo dini ikumbukwe?
Nawakilisha...!
 
Ni vigumu sana kutenganisha kwa kuwa vyote mlengwa ni mmoja! Kimoja kinaongoza taratibu za maisha haya ya nje yaani ya mwiliu na kingine kinaongoza taratibu za ndani yani roho. Kama ambavyo si rahisi kutenga mwili na roho hivyo hivyo dini na siasa havitengani kirahisi. Mwili ukiwa na matatizo, roho yako haiko salama vilevile roho yako ikiwa na matatizo mwili wako pia hauko salama!
 
Ni vigumu sana kutenganisha kwa kuwa vyote mlengwa ni mmoja! Kimoja kinaongoza taratibu za maisha haya ya nje yaani ya mwiliu na kingine kinaongoza taratibu za ndani yani roho. Kama ambavyo si rahisi kutenga mwili na roho hivyo hivyo dini na siasa havitengani kirahisi. Mwili ukiwa na matatizo, roho yako haiko salama vilevile roho yako ikiwa na matatizo mwili wako pia hauko salama!

Kama ni hivyo, kwanini wanadini wanakatazwa kujihusisha na siasa? Maana naona kila mtu wa dini akifungua mdomo wake kuzungumzia siasa anaonekana kana kwamba ametenda dhambi kubwa sana isiyosameheka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom