Kikwete ame double kimapato-Pinda Bungeni, congrt. ma presida

Join Date : 17th December 2010
Posts : 16
Thanks4Thanked 1 Time in 1 PostRep Power : 0

For your information JF is the place for great thinkers not for CRAP like you.
 
Jamani eeh Mnyonge Mnyongeni haki yake mumpe, jamaa yupo juu katika kukusanya mapato , kwa kifupi anatisha!

Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo nchi haijengwi kwa maneno!, kuna yule mwenzako alipandisha mapato kwa kuuza kila rasilimali, wewe usifanye hivyo , wewe ni mzalendo nakujua, mambo ya dowans hayo ni ya ccm na ushindi wenu wa kishindo! ila wewe ni msafi, narudia tena ni msafi. Utakumbana na vikwazo vingi kutoka kwa maaskofu wanaoingiza magari binafsi na ya biashara kupitia misamaha ya kodi lakini komaa kiume, huyo PM wako si wa kumshirikisha katika hili, usiondoke ondoke atamuomba msamaha hadi Kakobe! , CONGRATULATIONS!

najua wengi mtasema tatizo ni matumizi, mpo bungeni sasa , ingieni na agenda binafsi ya kupunguza mishahara,viinua mgongo kwa wabunge na posho siziso na hesabu , bila kusahau ruzuku ya seriakli kwa vyama vya siasa.jamani tujenge nchi, Ikulu mtafika kwa mipango sio kukurupuka

Wakabhaye itubhula! Iloko!...uhawe yangahe? Ubwenke bhuli munyyo?
 
Hayo mapato yako wapi mbona serikalini hakuna kitu!

Nani kasema hamna kitu? Hujamsikia Gavana wa Benki kuu akijibu maswali ya waandishi juzi juzi tu? Alisema Tanzania kwa sasa ina reserve ya fedha za kigeni kuliko nchi yeyote ya Afrika Mashariki!

Au hilo hujalipenda?
 
Hayo mapato yako wapi mbona serikalini hakuna kitu!
<br />
<br />

Serikalini amebana!!! Pita mawizarani kote utasikia yule katibu mkuu hajui kazi kisa posho hazitoki kiholela!
 
Tajiri si yule ambaye anapata hela nyingi bali ylue anayeweza kuitunza na kuipangilia vizuri hela kidogo anayoipata. Ni kwa njia hiyo hiyo nchi masikini na tajiri zinaweza kuangaliwa.

Ni jukumu la Raisi kuhakikisha watendaji wake wanasimamia ukusanyaji mapato na pia matumizi yake. Endapo makusanyo yataongezeka sawa na matumizi bado tatizo linabaki.

Nimegundua tatizo moja kwa watetezi wa Raisi na CCM kwa ujumla. Hamjiamini hata kidogo. Kwa nini unaamini kwamba wanaompinga JK ni wengi humu JF na sio wengi Tanzania? Unafikiri mtu anaweza kumchukia kwa sababu tu anafurahia kumchukia Raisi wake? Lazima kuna sababu.

Wewe na wenzako mnakwepa au hakuna cha kujibu kuhusu hizo sababu za JK 'kuchukiwa'. Aidha ni kweli na ninyi ndio chanzo au ni udhaifu wenu.

Kwa mtanzania, heshima ya shati ni mfuko sio mapato yaliokusanywa na kutumiwa.

Serikali ya CCM ingekuwa na nia ingepunguza matumizi. Inaweza kwa wepesi wa ajabu kusimamia kubadilishwa kwa kanuni kwa pamoja na baadhi ya vyama vya siasa lakini ikashindwa kushirikiana na vyama hivyo kupunguza matumizi. Huu ni unafiki.

Jifunzeni kujenga hoja na sio kuandika mashairi. Post yako ni ushabiki zaidi. Ulitegemea ukutane na 'great thinkers' wakati wewe sio mmoja wao? Hata ukikutana nao utawajua? Huwezi kuwajua kwa sababu kuwajua kuna hitaji uwezo wa kufikiri.

Tuachane na Raisi, tubaki wote. Soma heading yako. Jiulize niliandika ili kufikia lengo gani? Kingereza na kiswahili kwenye heading. Maneno ya mtaani 'presida' unawasilisha nayo hoja. Ulishindwa nini kuandika 'Mh. JK amefanikiwa kuongeza na kusimamia mapato na matumizi ya serikali'. Ungeona aina ya majibu ambayo ungepata. Yangewasaidia kujipima na kujua nini mfanye. Kama kawaida yenu hamuwezi kufikiri hivyo.

Pili, umeshindwa kutoa takwimu au source ya taarifa yako. Ameongeza kwa asilimia ngapi? Ameongezaje? Inawezekana akaongeza kwa kutulipisha kodi zaidi, kuuza nyara nje, kuuza madini yetu mengi kwa hela kidogo lakini tukaona mapato yameongezeka.

Hiyo taarifa yako ni ripoti ya World Bank, IMF, Redet, Repoa, Bakita, Bakwata, Umoja wa Nchi za Kiarabu, CCM annual report au?

Tatu, unamgombanisha na Waziri Mkuu wake aliyemchagua. Sababu ni dini. Sitaki kuongea zaidi. Jifikirie tena.

Unaonekana wazi unashambulia kanisa. Siasa nyepesi sana. Hukuwa na sababu ya kuharibu hoja nzuri kisa ushabiki usio na maana. Jaribu kutumia muda wako kuijenga nchi yako.

Kila sekunde inahesabika kwenye maendeleo ya nchi. Umepoteza sekunde ngapi kuandika ulichoandika?

Kabla hujalala leo utasema umejenga nchi yako? Fikiria tena.
 
Nimesikia leo asubuhi serikali imejiumbua tena kwa kurudia kubembeleza wafadhili/wahisani waisaidie!!! Bajeti iliyopita maji yamezidi unga aah no unga umezidi maji!! Sasa mwambie kikwete akawaambie hao wakubwa kuwa barua ile ilikosewa! Si hazina mihela imejaa au??!
 
unauliza source? Hotuba ya Pinda Bungeni akifunga mjadala wa hotuba ya raisi

figure? more tha 400bil / month
 
Ninatilia shaka uelewa wa mtoa mada.Aidha hajui anachokitetea au ushabiki unamuongoza na kushindwa kujua ni wapi anaelekea.Nadhani atakuwa Tambwe Hiza huyu ambaye aghalabu anaishi kwa ruzuku au ubongo wake umekuwa diluted.Lete numbers unapotaka kutoa hoja kama hiyo.
 
Ninatilia shaka uelewa wa mtoa mada.Aidha hajui anachokitetea au ushabiki unamuongoza na kushindwa kujua ni wapi anaelekea.Nadhani atakuwa Tambwe Hiza huyu ambaye aghalabu anaishi kwa ruzuku au ubongo wake umekuwa diluted.Lete numbers unapotaka kutoa hoja kama hiyo.

Hata akitoa figures wewe hutaelewa, ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Taarifa na figures za uchumi wetu ulivyo sasa zimetolewa kwa kirefu na mapana juzi tu.
Ninyi mnaojiita great thinkers you are just thick headed.
Mnafuatilia mambo gani ambayo ni muhimu kwa nchi yenu kama si pamoja na uchumi? MNATIA AIBU.

Mtoa mada pongezi. Wape ujumbe wavivu wa kufikiri hawa.
 
Jamani eeh Mnyonge Mnyongeni haki yake mumpe, jamaa yupo juu katika kukusanya mapato , kwa kifupi anatisha!

Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo nchi haijengwi kwa maneno!, kuna yule mwenzako alipandisha mapato kwa kuuza kila rasilimali, wewe usifanye hivyo , wewe ni mzalendo nakujua, mambo ya dowans hayo ni ya ccm na ushindi wenu wa kishindo! ila wewe ni msafi, narudia tena ni msafi. Utakumbana na vikwazo vingi kutoka kwa maaskofu wanaoingiza magari binafsi na ya biashara kupitia misamaha ya kodi lakini komaa kiume, huyo PM wako si wa kumshirikisha katika hili, usiondoke ondoke atamuomba msamaha hadi Kakobe! , CONGRATULATIONS!

najua wengi mtasema tatizo ni matumizi, mpo bungeni sasa , ingieni na agenda binafsi ya kupunguza mishahara,viinua mgongo kwa wabunge na posho siziso na hesabu , bila kusahau ruzuku ya seriakli kwa vyama vya siasa.jamani tujenge nchi, Ikulu mtafika kwa mipango sio kukurupuka

Aisee umekurupuka usingizini nini? mbona hakuna mantiki katika bandiko lako?
 
Kumsifia JK -- ni lazima kuwaingiza maasakofu na kuwaponda? Si Jk alikwenda Vatikan kuubusu mkono wa papa Benedicto? Kwa nini annur halilioni hilo na kulilaani?
 
unauliza source? Hotuba ya Pinda Bungeni akifunga mjadala wa hotuba ya raisi

figure? more tha 400bil / month
Mkuu, unalinganisha figure au thamani ya hiyo fedha? Tanzania inaimport vitu vingi vya muhimu kama vile madawa, sasa tukitaka kununua lazima tutoe U$ Dollars na si shilingi za kitanzania. Sasa kama kwa wakati ule wa miaka ya 1990 uliweza kununua unit fulani ya madawa kwa sh. billion 1, na sasa hivi billion 2 haitoshi kununua unit hiyo hiyo ya madawa, huoni kwamba figure ya mahela is nothing kama hautazingatia na mambo mengine? Ulitegemea kodi aliyotozwa mfanyakazi mwaka 1990 ndio hiyo hiyo siku hizi za JK? Unadhani VAT aliyotoza Mkapa ndiyo hiyo hiyo kwa figure anayotoza JK, wakati bei za bidhaa zimepanda kwa kiwango kikubwa? Usipojiuliza mambo, utamshangilia sana JK, lakini ukijiuliza vizuri, utashangaa kwa nini aligombea tena 2010!
 
Tanzania faces new debt crisis ...AS NATIONAL DEBT SOARS TO MORE THAN $10 BILLION

By ThisDay Reporter

25th October 2010
TANZANIA is facing a new debt crisis as budget crunches in rich countries are bringing cuts in aid spending, forcing the government to seek loans to meet budget deficits.

During the year ending July 2010, the national debt stock soared by more than $1.185 billion to a staggering $10.1 billion, according to Bank of Tanzania figures.

At the end of December 2006, the country's national debt stood at around $7 billion.

This means that the national debt has increased by a whopping $3 billion since President Jakaya Kikwete's government came into office towards the end of 2005.

Analysts have warned that the nation's debt could balloon further in the coming years, following a decision by development partners to cut aid to poor countries, including Tanzania.

The government's current budget reflects a reduction in foreign aid from $840 million in 2009/10 to $534m this year, a figure that still represents 25 percent of the country's projected takings.

Experts say an overall cut in bilateral aid is only one worrying aspect of Africa's financing equation, according to a Reuters report.

Just as alarming is the potential for donors to inflate their aid figures by switching assistance from grants, which are in effect a gift, to concessionary loans, which have to be repaid, albeit at cheap rates.

"You've got the double whammy of African countries struggling because of the crisis, and then donors potentially switching more to loans than to grants," said Daniel Coppard, an aid analyst at Britain's Development Initiatives in an interview with Reuters.

The implications of such a switch by other donors would be dire, burying many African states under the same mountain of obligations that triggered the 2005 Heavily Indebted Poor Countries debt forgiveness initiative of the IMF and World Bank.

For example, if all its overseas grants became loans tomorrow, Tanzania would be running a budget deficit of a staggering 25 percent of gross domestic product (GDP).

The signs that donors' austere response to their own financial problems may end up exacerbating Africa's are already there.

According to a study by the International Monetary Fund (IMF), total public debt for low-income countries like Tanzania rose to 35 percent of GDP in 2010 from 30 percent in 2008.

The government has already shown a growing appetite for borrowing following the decision of donor countries to cut aid.

The government announced earlier this year it had revived plans to issue its first eurobond, worth $500 million to raise funds for infrastructure projects.

The Bank of Tanzania has also been borrowing more money from the private sector by issuing government securities.

A recent analysis by Dar es Salaam based civil society organization, Uwazi, shows that at present for every 1 shilling it collects as tax revenue, the Tanzanian government spends 1.9 shillings.

The difference between the two is borrowed money and foreign budgetary grants.

"If Tanzania's existing debt was apportioned equally to every living Tanzanian, each Tanzanian owes lenders 332,000 shillings in public debt," says part of the report.

"Of this, 264,354 shillings (80%) is owed to foreign lenders. With the borrowing planned in 2010/11, each Tanzanian will add 54,300 shillings to their debt obligation.

Sasa sijui mwenzetu hizi takwimu zake alizitoa wapi! nyie ndio mnaodanganywa na serikali yenu na wala hamtaki ku question viongozi wenu wanavyowadanganya!! ona hapo juu ukweli!
 
Back
Top Bottom