Jamani eeh Mnyonge Mnyongeni haki yake mumpe, jamaa yupo juu katika kukusanya mapato , kwa kifupi anatisha!
Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo nchi haijengwi kwa maneno!, kuna yule mwenzako alipandisha mapato kwa kuuza kila rasilimali, wewe usifanye hivyo , wewe ni mzalendo nakujua, mambo ya dowans hayo ni ya ccm na ushindi wenu wa kishindo! ila wewe ni msafi, narudia tena ni msafi. Utakumbana na vikwazo vingi kutoka kwa maaskofu wanaoingiza magari binafsi na ya biashara kupitia misamaha ya kodi lakini komaa kiume, huyo PM wako si wa kumshirikisha katika hili, usiondoke ondoke atamuomba msamaha hadi Kakobe! , CONGRATULATIONS!
najua wengi mtasema tatizo ni matumizi, mpo bungeni sasa , ingieni na agenda binafsi ya kupunguza mishahara,viinua mgongo kwa wabunge na posho siziso na hesabu , bila kusahau ruzuku ya seriakli kwa vyama vya siasa.jamani tujenge nchi, Ikulu mtafika kwa mipango sio kukurupuka
Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo nchi haijengwi kwa maneno!, kuna yule mwenzako alipandisha mapato kwa kuuza kila rasilimali, wewe usifanye hivyo , wewe ni mzalendo nakujua, mambo ya dowans hayo ni ya ccm na ushindi wenu wa kishindo! ila wewe ni msafi, narudia tena ni msafi. Utakumbana na vikwazo vingi kutoka kwa maaskofu wanaoingiza magari binafsi na ya biashara kupitia misamaha ya kodi lakini komaa kiume, huyo PM wako si wa kumshirikisha katika hili, usiondoke ondoke atamuomba msamaha hadi Kakobe! , CONGRATULATIONS!
najua wengi mtasema tatizo ni matumizi, mpo bungeni sasa , ingieni na agenda binafsi ya kupunguza mishahara,viinua mgongo kwa wabunge na posho siziso na hesabu , bila kusahau ruzuku ya seriakli kwa vyama vya siasa.jamani tujenge nchi, Ikulu mtafika kwa mipango sio kukurupuka