Recent content by bunyua

  1. bunyua

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kuhusu Third Batch ya mkopo wa HESLB

    de98, not secured batch 3
  2. bunyua

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kuhusu Third Batch ya mkopo wa HESLB

    mi nimekosa batch 3 pia cjajua hapo inakuaje
  3. bunyua

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    habaei yenu wana jamvi
  4. bunyua

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kuhusu Third Batch ya mkopo wa HESLB

    lakini sahizi wako kimya kabisa hawasemi lolote.
  5. bunyua

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kuhusu Third Batch ya mkopo wa HESLB

    vinny cente, jamani nitumie namba zako PM
  6. bunyua

    JamiiForums Tanzania University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    hata mimi sielewi merit inahusu nini.na vigezo vya matokeo ni vipi
  7. bunyua

    JamiiForums Tanzania Customer Care wanakuwa na vigezo gani?

    Ni vigezo gani vinatumika kuwaajiri wafanyakazi wa Customer Care kwenye makampuni ya simu? Napenda sana hiyo kazi ila sijui elimu yake na vigezo vingine kama uzoefu wa kazi na kadhalika.
  8. bunyua

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta

    kwaiyo niwe na uhakika au mana cjajua kwa mtu ambae hapati kabisa akaunti inakuaje ?
  9. bunyua

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta

    Akaunti yangu HESLB inaandika madudu haya wazoefu naombeni mnijuze kama kuna matarajio au hamna mana nimechanganyikiwa kabisa
  10. bunyua

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    umesoma economics topic ya public finance?
  11. bunyua

    JamiiForums Tanzania Je, niache Bsc. Busness Information Tech niende Education?

    Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita ila sina uelewa wowote kwenye kozi mana hatukupewa elimu yoyote kuhusu kozi, Sasa nimechaguliwa UDSM -Bsc.Busness information tech, ila sielewi hii kozi badae nakua mtu gani. Hapa nafikiri nibadili kozi niende education, mana inaeleweka nitakuwa mwalimu labda...
  12. bunyua

    JamiiForums Tanzania What part time jobs , suitable for a university student in Dar es Salaam ?

    kwani huna fani yoyote
  13. bunyua

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kozi ya animation na programming

    nichek0754460800
  14. bunyua

    JamiiForums Tanzania DISCUSSION

    nimemaliza vi nina point 10 matokeo nimesoma EGM combination napenda IT au computer science ila cjajua kama nina vigezo na kama sina naombeni.ushuri ni kitu gani nisome chuo kitakachonipa manufaa matokeo yangu ni Economics=C,Geography=D,Mathematics=C
Back
Top Bottom